I hate Clouds Fm,Clouds Tv na Ma boss Wao,Ukiifatilia kwa undani zaidi,Clouds ni wauwaji wakubwa wa vipaji vya Muziki wa bongo,Unaikumbuka Smooth Vibes ilio kuwa ukiwa jumuisha Lady Jay D,Fina Mango,Ray C,Mr. Paul na wengine? nini kiliwasibu huko hadi kufikia Jd Kupata JOTO HASIRA? Unakumbuka...