Huyu ni mke wa aina gani?

Huyu ni mke wa aina gani?

Jamani me nina mke wangu halali wa ndoa kabisa tumekaa kwenye uchumba kwa takribani miaka minne tukaoana kwa baraka za wazazi wote pande mbili.tatizo ni kuwa kila tukimaliza ku-do anaomba hela kitu ambacho hakuwa nacho enzi za uchumba,nisaidieni amepatwa na nini?

usituchekeshe... inaonekana huna hoja za kuingia jamvini... tafuta mada nyingine tutaichangia... wewe inaonekana hata mke mwenyewe huna
 
Labda hautoi hela ya matumizi kwa hiyo anayumia mbinu za porini kama kina gea habib. Sasa mi nakushauri hakikisha unatoa matumizi kabisa ili wakati wa sakramenti ya ndoa awe na furaha zaidi. Hali ya kuomba ikiendelea ujue hiyo ndo fantassy yake. Haina tofauti na wanaopenda mpenzi avae kama dr, nesi, rubani ama mwanafunzi. Mpe ili aendelee kufurahia ndoa
 
Heeeee!! Makubwa!!! Dah hiyo ndoa eti!! Ndio mana nsipoingia humu naumwa!!Anakuuzia hadi papuch uliyoilipia?duuu huyo mke wa ajabu cjawah kuona! Ngoja niendelee kushangaa....!!!!!!
Ndo mizuka yake tu ilivyo wala sio tatizo mbona wengine wakimaliza huwa wanang'ata meno?
 
Jamani me nina mke wangu halali wa ndoa kabisa tumekaa kwenye uchumba kwa takribani miaka minne tukaoana kwa baraka za wazazi wote pande mbili.tatizo ni kuwa kila tukimaliza ku-do anaomba hela kitu ambacho hakuwa nacho enzi za uchumba,nisaidieni amepatwa na nini?
Labda unaipiga sana mpaka inalia kama mzinga
 
Jamani me nina mke wangu halali wa ndoa kabisa tumekaa kwenye uchumba kwa takribani miaka minne tukaoana kwa baraka za wazazi wote pande mbili.tatizo ni kuwa kila tukimaliza ku-do anaomba hela kitu ambacho hakuwa nacho enzi za uchumba,nisaidieni amepatwa na nini?

Hahahaha, papuchi ya ndani kwako unalipia?
 
Mkuu pole sana jaribu kuzungumza nae kuhusu hiyo sio nzuri hasa kwa wanandoa...lakini duuh imeshangaza kwa kweli
 
Ha ha ha ha ha....kwa atakua anaomba hela ili ifanyiwe ukarabati au?....ha ha ha ha
 
ha ha ha ha nimechekaje ha ha ha mweh??!! Kama ni kweli huyo ni balaa sijawahi kusikia tangu nizaliwe aisee kha?
 
Men of today Don't want responsibilities....period!
Learn from you fathers

Women of today demand more than their men can afford... even our mothers did their part in nurturing, they contributed and shared the little they had.... u guyz are just money mongers!
 
Jamani me nina mke wangu halali wa ndoa kabisa tumekaa kwenye uchumba kwa takribani miaka minne tukaoana kwa baraka za wazazi wote pande mbili.tatizo ni kuwa kila tukimaliza ku-do anaomba hela kitu ambacho hakuwa nacho enzi za uchumba,nisaidieni amepatwa na nini?

anajijenga kwa ajili ya wanao.au ameona unapenda sana kuhonga nje hivyo anafanya hivo kukufanya usishawishiwe na madada poa cha msingi na wewe mtumie kama vile unavyowafanyia madada poa na nyumba ndogo zako
 
Ha ha ha labda alikua anapata hela sehemu ingine sasa umeuoa anaogopa kutoka nje huko anataka zako..mawazo tu..pole..
 
Jamani me nina mke wangu halali wa ndoa kabisa tumekaa kwenye uchumba kwa takribani miaka minne tukaoana kwa baraka za wazazi wote pande mbili.tatizo ni kuwa kila tukimaliza ku-do anaomba hela kitu ambacho hakuwa nacho enzi za uchumba,nisaidieni amepatwa na nini?

Huyo mke kabila gani?
 
Labda hautoi hela ya matumizi kwa hiyo anayumia mbinu za porini kama kina gea habib. Sasa mi nakushauri hakikisha unatoa matumizi kabisa ili wakati wa sakramenti ya ndoa awe na furaha zaidi. Hali ya kuomba ikiendelea ujue hiyo ndo fantassy yake. Haina tofauti na wanaopenda mpenzi avae kama dr, nesi, rubani ama mwanafunzi. Mpe ili aendelee kufurahia ndoa

Kwel kabisa,ebu ajichunguze na upande wake!!
 
Back
Top Bottom