Naomba kudandia mada,swali juu ya swali,kwa mnaosema mke mmoja hatoshi,je katika hao kadhaa utakaokua nao( namaanisha wake wa kuwaoa sio vimada vya nje) kuna utakayempenda zaidi? au upendo utaugawa sawa kwa sawa? hebu nisaidieni hapo
hahahahahhahahha kwakweli we kaka ,you have made my night,au sisi Wana JF tukushindwa kuelewa ndo tuache,dah,au uliandika ukiwa na stress baada ya kutumia nguvu nyingi kwenye Hakuna ,pole mwaya.
We nae miaka sita ni mingi mambo yanabadilika,kwa kadri miaka inavyoenda kuna baadhi ya watu wanakua wa muhimu sana na wenginwe hawana umuhimu tena japo mtaendelea kusalimiana kama mara chache lkn haimaanishi mmechuniana ,mi naona jambo la kawaida sana,kwnza wakati unampigia una uhakika gani...
we nae!! sijui unaandika vijitu gani hivi,kwhyo unataka ushauri gani sasa unacheka mazuri hayo, au unaona ndo uanaume, nina mashaka na umri wako ,nahis under 18 weyee!! Kwanza waliotembea na mbinti totauti totafut wasingeshangaa kukutana na bikra yenye umri wa miaka 25 wala.
Ndio maana unavyoviongea ni pumba tupu,usipojirekebisha ndoa itakushinda mdg wangu, unless other wise kama huna mpango wa kuolewa, kuna raha yake unapomcare husband wako mwenyewe na hudumisha ndoa pia, sasa kama una mawazao ya kifeminist na kutaka kukimbilia beijing mdg wangu wanaojua kucare...
Mmmmm kaka,yap jina lawezakua lisiwe hoja katika hili ila headless!!! mimi si mwanabiologia sana thogh nahis tunafikiri kutumia akili,akili inapatikana kichwani sasa kama kichwa ni headless hapo si kasheshe maana yake hakiwezifikiri,anyway usiimind sana hii nilikua najaribu kukuonyesha kua...
Mmmmm research nyininge bwana!,binafsi sioni uhalisia wa hii reseach labda kama alipima wadada aliodate nao yeye TU,ambapo hapo napo mtafiti nae atakua na mapungufu, kuna dada mmoja mfupi wa kama fut 5 hivi hagusi simu ya mumewe,wala kununa hajui,anamuheshimu mumewe ile mbaya,na kuna mwingine...
we nae sijui umetumwa!! umeshaambiwa issue sio kupanda pikipiki, issue hapa ni kwanni aipublicity,hata akipanda baiskel,bajaji,pikipiki etc,kwani kuna jipya gani hapo yeye ni nani hata tusimame kumshangaa kua muheshimiwa kapanda pikipiki hivo ni vitu vya kawaida na wala sioni hoja yoyote hapo...
we nae sijui umetumwa,sasa hapo afisadi nini,umeshaambiwa ishue sio kupanda pikipiki, ishu kwanni aipublicity,kupanda kwake bajaji,baiskel ,bodaboda havitusaidii chochote maana hizo ni issue za kawaida saana, kwani yeye ni nani kwamba akipanda boda tushangae, hivo ni vitu vya kawaida lkn...
Chali ni kulala kwa kutumia sehemu ya nyuma ya mwili i.e kulalia mgongo wakati kifudifudi ni kujilaza kwakutumia sehemu ya mbele ya mwili yaani unalalia tumbo ,na ndio maana ni rahisi kwa mtoto kuishiwa hewa haswa hao ambao hawawezi kujigeuza maana wawezakaweka uso kiupande lkn katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.