msichana wa miaka 25 bado bikra

Haaa mi sizifahamu sehemu za mauzo, lakini inaelekea wewe ni expert lol.

Naam, mtu unaweza kujitunza mpaka miaka 28, 38, 48. Ni chaguo lako. Ninachoshangaa ni kwanini ajitunze muda woote huo halafu ajiachie kwa mwanamme wa kibongo ambae 1) si mume 2) si official boyfriend, maana kupima walikuwa bado hawajapima, na pia jamaa amekiri kuwa na yeye alikuwa anarandaranda na wengine kabla ya hapo. Kama amekuja kuuliza kama aoe huyu binti, ina maana hawakuwa serious na wala hawakuliongelea hili swala.

Mimi sikuchezewa, in fact I married the man that deflowered me. Lakini si kusema kuwa sikuwahi kuwa na mwanamme mwingine kabla ya kukutana ya mume wangu. Ninachosema ni hata kama huyu binti alikuwa "sealed" usijidanganye kuwa hajawahi kufanya au kufanyiwa mambo mengine na wanaume katika miaka yake 25 duniani.






Usifikiri kila
Mwanamke ni kama makurumbembe yaliyopo bongo. Msichana anaweza kujitunza bikra na akafijia hadi umri wa miaka 28 hasa kama hajaolewa. Kuna wanawake wanajielewa sio wajinga wenye kufaya "virginity is not dignity but its just luck of opportunity". Wenye kufata msemo huo ni kama wanyama tu, ndio maana mnachezewa na kuachwa. Watu wanaume tunatafuta vitu sealed vya kuoa,sio vilivyochokolewa kama pweza.

By the way, kuwa na bikra ktk umri mkubwa haimaanishi atakua na sura mbaya, kakae sehemu za mauzo ndo utajua kama wanaogongwa kila siku ndio wenye sura mbaya!
 
Nadhani sio jambo la kustaajabu kivile as if umeona dhahabu,kama umemkuta yuko hivyo ni poa shukuru Mungu na iwe siri yako.Suala la kutaka kuoa eti kisa umemkuta ana bikra,mimi binafsi siwezi kukuunga mkono kwa vile hatuoi bikra ila unamuoa mtu (characters zake).Angalia usije jikuta unalia maisha yako yote na hiyo dhahabu yako(bikra) ikiwa ndani ya nyumba.
 
nyuma nimetest kwa kidole tu na wala hakikuweza kuingia yaani in short kitu kipya kotekote. experience yangu yote ya 28 years na kutembea na baadhi ya mabinti tofautitofauti hichi kitu nyoko, tatizo demu anaforce tukapime ngoma, dah jasho linanitoka kwa kweli maana maeneo mengine niliyopitia ni ya hatari haahaa
Kwa iyo huyo mdada kama hautaki kupima una future gani naye.umemsifia kiasi hicho lkn bado unataka kumchezea kama si kumuambukiza.haufai kanisani wala msikitini.shame of you.
 
ajabu ni ipi sasa?

Au unadhani wanawake siku hizi hawazaliwi nazo?

Yaani mwanamme kukutana na bik.ra imekuwa ajabu kama kukutana na simba kariakoo??

Afu nina wasiwasi na uwezo wako wa kutambua mbivu na mbichi, mbona unajihami sana na kutaka kutuhakikishia hiyo bikra ya china?

Mwisho wa siku, ulitaka usaidiwe nini? Au unatudolishia bikra?
ha haaaa, Kongosho unakuwaga na majibu standby?
umenifurahisha sana
 
Last edited by a moderator:
nyuma nimetest kwa kidole tu na wala hakikuweza kuingia yaani in short kitu kipya kotekote. experience yangu yote ya 28 years na kutembea na baadhi ya mabinti tofautitofauti hichi kitu nyoko, tatizo demu anaforce tukapime ngoma, dah jasho linanitoka kwa kweli maana maeneo mengine niliyopitia ni ya hatari haahaa

we nae!! sijui unaandika vijitu gani hivi,kwhyo unataka ushauri gani sasa unacheka mazuri hayo, au unaona ndo uanaume, nina mashaka na umri wako ,nahis under 18 weyee!! Kwanza waliotembea na mbinti totauti totafut wasingeshangaa kukutana na bikra yenye umri wa miaka 25 wala.
 
sasa umemtoa bikira ndo unataka umuoe, si asha kuwa kama wengine tu, je ukipata mwingine mwenye bikira nae utaoa, usioe kwa kigezo cha bikira, wakwangu nilimpata nayo lakini sikumuoa kwasababu ya bikira, kwamaana hata asingekuwa nayo bado ningemuoa.

Kama shida yako nikupenda wenye bikira basi huyo usingetoa yake, ungeoa kisha mnaangaliana tu kama dada na kaka ili bikira yake isije toka.

Alafu marriage is more than sex, kama kipimo chako cha kuoa kipo kwenye sex, hutadumu kwenye hiyo ndoa, you need to grow up boy.
 
Hongera kwa kutumia kitu kipya kitokacho kwenye makaratasi. lakini je, unauhakika huyo binti hajatumia gharama yoyote kutunza bikra hiyo? Marinda yake hayajafumuliwa? Ahahahahahaaaaa! kazi kweli kweliiiiii!
:confused:
 
habari zenu wana MMU,
siku chache zilizopita nimefanya mapenzi na mpenzi wangu ambaye ana 25 years na nimemkuta bado bikra,
mimi ndio mtu wake wa kwanza toka azaliwe na ushahidi ilikuwa damu na udogo wa u**ke wake kama
mtoto mdogo. msichana ni mzungu niko huku ughaibuni tupo katika mahusiano kwa 2 months now.
hivi kweli ni possible kwa wasichana kujitunza namna hiyo maana sijawahi kufikilia kama dunia ya
leo wapo wasichana kama hawa, je vp nichukue mzigo niuweke ndani kabisa nini?ushauri please.

unauliza kama inawezekana huku unasema umevunja. Acha habari zako za kufikirika afu we si upo kwa mtogole tangia lini pakaitwa ughaibuni?
 
habari zenu wana MMU,
siku chache zilizopita nimefanya mapenzi na mpenzi wangu ambaye ana 25 years na nimemkuta bado bikra,
mimi ndio mtu wake wa kwanza toka azaliwe na ushahidi ilikuwa damu na udogo wa u**ke wake kama
mtoto mdogo. msichana ni mzungu niko huku ughaibuni tupo katika mahusiano kwa 2 months now.
hivi kweli ni possible kwa wasichana kujitunza namna hiyo maana sijawahi kufikilia kama dunia ya
leo wapo wasichana kama hawa, je vp nichukue mzigo niuweke ndani kabisa nini?ushauri please.

Eti nichukue niweke ndani?

Hivi kumkuta mtu bikra ni lazima kumuoa?

Wewe hauna sifa unazotaka kwa mtu unaemuoa?

Tukushauri umuoe kwa sababu ya bikra uliyoitoa?

Kumuoa mtu ni zaidi ya kumtoa bikra msichana..

By the way tumeshajua uko ughaibuni na asante kwa kutujuza
 
Back
Top Bottom