Dunia imeisha!

Dunia imeisha!

Siamini...wanyama ndio wanaweza kufanya hivi..

Kuna wimbo ulioimbwa na kwaya ya Upendo kijitonyama.. Jina la wimbo nimelisahau lakini kuna sehemu Joshua anaimba kwa sauti kali na yenye hicia akisema binadamu tumekuwa wanyama kuliko hata wanyama wenyewe MadameX..
 
nimeumia mpaka kichwa na hisi kinauma!
 
dah alitakiwa nae wamsodome kabla ya kumpeleka polisi.
mwanao wa kumzaa aisee.shetani kabaki macho wazi
 
wanaume hao!mm ningekua huyo mama wala nisingezimia,ni shoka ya kichwa tu huyo baba angepata coz mshahara wa dhambi ni mauti!khaaaa!mtt wangu mwenyewe tena mdogo?
 
jamani dhani kweli malaika wa mungu asie kuwa hata na kosa???.....looh kama ni kweli na alaaniwe huyu baba maisha yake yote.
 
Kuna umuhimu wa mama kuwakagua watoto wako sehemu za siri kama ameanza kufanyiwa mchezo mmbaya utajua tuu mapema kuliko kuja kujua kumeshaharibika. Tuko busy sana ila hata ukirudi keshalala na kaogeshwa na hg au ndugu walioko home kwako, mvue pichu polepole na uwakague hata makwapani shingoni pia kujua kama wako salama yaani hawajaumizwa au kama wanamajeraha hata ya shule.
 
Story za kupikwa hizi. Mtoto wa miaka mitatu unamuingiliaje katika hali ya kawaida. Bila hata huyo mama kuulizwa kama ana kifua, ni dhahiri angeona mabadiliko makubwa kwa mwanae, wala asingehitaji kusubiri hadi aulizwe kama ana kifua. Acheni story za kutunga.
 
Na huyu baba juzi kafikishwa kituo cha msaada wa sheria hapo kinondoni,ndugu wa bwana wakaja wakimsema mama wa jirani kwamba hakitakiwa kufika kwenye sheria ni swala lingeisha kifamilia!!! Nauliza huyu mama wa jirani akinadili msimamo watakuwa wametenda haki😕

Nilifikiri utatujuza kuwa 'jamaa alipigwa na mashuhudha hadi ICU ama nyumba ya maiti kabisa. Anyway, waungwana hao walimuona.
Ajabu!!!! unasema tena ndg zake wanamwona mke mtu kafanya vibaya!!!! hao nao ni ndg zake mwendawazimu, hakuna cha ajabu hapo.

Jama, 'dunia tambara bovu' imejaa matobo matoboooo. Wajanja/werevu ni wale walioliona hilo wakaepuka matundu hayo, nao wendawazimu wasioona matundu ndo kama hao wanaofanya vituko na laana.
 
Mwezi Mungu tuepushie mbali yasiendelee, kusema ungefanya nini kwa haraka ni ngumu maana yamkini hata ukazirai.
 
Duh! Nimebaki nimekodoa macho tuu baada ya akili kusimama kwa muda
miaka 3? halafu ni mtot wake kabisa au?
 
mmmhhhh sielewi ningefanya nini..........uaminifu umekwisha hata kwa mume ukirudi lazima umkague watoto
 
Mwanamke mpumbavu huaribu nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe, mtoto amekuwa akiingiliwa nyma na mbele na mtu mzima kwa muda fulani bila ya mama mzazi wala msicha wa kazi kujua? je mtoto huwa anaoga mwenyewe? kwamaana kwa umri wake lazima ingejulikana siku ile ile ya kwanza, labda kama baba ana kiboo cha kitoto kidogo.
Sitaamini hadithi hii labda tu uniambie mama huyu alikuwa hana akili timamu kama mumewe. Kwangu mimi hata mtoto wa miaka 13 lazima atalazwa hospitali.
 
This man wont survive...iwe mentally, physically, spiritually, illegally, psychologically e.t.c!
 
khaaaaaaaaaaaaaaaaa...... Mungu naomba umlinde mwanangu huko alipo.
 
Back
Top Bottom