Recent content by IqraNI

  1. IqraNI

    Hii ndiyo huenda ikawa sababu ya mgongano wa viongozi wa dini

    Asipokuelewa na hapa basi kichwa chake ni mzigo.
  2. IqraNI

    Dark days 17/03/20

    yoga ongeza nyama kidogo hapa
  3. IqraNI

    Mimba miezi 10 (wiki 40) bado hajajifungua

    Pole kwa kuwa na hofu.. bado yupo ndani ya muda, akizidi wiki 42 tutasema amepitiliza siku. Hapo kuna siki 14 tena za kujitizamia, hakikisha mama anakula vizuri, anapata muda mzuri wa kupumzika na kama una wasiwasi zaidi unaweza kwenda kituo cha kutolea huduma za afya ukapate majibu ya maswali...
  4. IqraNI

    Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

    Kununa sio vizuri kwa mambo yanayozungumzika.. pia kwa yeye kutokuona sio tatizo hapo ndio tatizo lilipo. Nyie watu wazima mnaweza milo miwili vipi kwa watoto? Miaka 7 na hajabadilika kwa upendo tu muombe ajifunze kupika kwaajili ya watoto na wewe kwani sioni watoto wenu kuwa wenye afya na...
  5. IqraNI

    Mke wangu hawezi kuandaa milo mitatu kwa wakati na hataki msaidizi wa ndani

    Pole kwa changamoto mkuu. Unaweza kumsaidia mkeo ikiwa yeye anaona kuwa hilo ni tatizo lakini kama yeye haoni ni tatizo hapo wewe ndiye utakayeumia. Pengine hawezi kupangilia ratiba zake, aanze na kipi? Kwavile ni mzito angekuwa anaamka mapema akaandaa kifungua kinywa ndio aendelee na shughuli...
  6. IqraNI

    Kabla na baada ya ndoa

    Pole sana, msaidie hapo kwenye hasira kwani yawezekana ni kitu ambacho hata yeye hakipendi na namna ya kumsaidia ni kwa vitendo aone na kujifunza kwako.. kuhusu kumbadilisha awe mke unayempenda wewe nenda naye taratibu, usimchoke itafika wakati atakuelewa tu pia ungejua yeye anachohitaji haswa...
  7. IqraNI

    Kabla na baada ya ndoa

    Utawezaje kumbadilisha ikiwa yeye hajataka kubadilka? Yawezekana unamuumbia taswira ya unavyotaka awe na yeye anaona hafit kuwa vile unavyotaka. Ukali kwa watoto je umejaribu kujua chanzo? Pengine ni hasira na msongo wa mawazo. Kumbuka kuwa akibadilika yeye ni wewe uliyebadilika kwahiyo...
  8. IqraNI

    Msaada: Mwanangu ana tabia ya kujishika usoni na kulia sana wakati wa asubuhi, leo hali naona imezidi mpaka mchana huu analia tu!

    Pole sana kwa hiyo changamoto.. umejaribu kumchunguza usoni na kuona kama hana majeraha yoyote yatokanayo na kujikwangua na kucha?
  9. IqraNI

    Hii changamoto ya majungu kwenye ajira mnapambana nayo vipi wenzangu?

    Ukiwa kazini usitake kuzoweana na watu.. nenda kazini, fanya kazi zako, kuwa bize na mambo yako.. ukitaka hivyo juu utaumizwa sana, waja wana maneno sana. Usimzingatie mtu, hutasikia hayo maneno na ukiyasikia hayatakuumiza.. usisahau kusali kwa imani yako.
  10. IqraNI

    Serikali imepitisha Uhamisho wa online lakini Watumishi wengi hatujui kuitumia hiyo mifumo

    Sijajua.. ndio maana nikamuuliza ndugu hapo pengine anaweza kushare kitu kitakachotusaidia.
  11. IqraNI

    Serikali imepitisha Uhamisho wa online lakini Watumishi wengi hatujui kuitumia hiyo mifumo

    Mkuu naomba kukuuliza swali, umefanikiwaje kukamilisha kwenye mfumo?
  12. IqraNI

    Naombeni mawazo na ushauri wenu juu ya huu mchoro wa nyumba kabla sijafanya uamuzi wa kuanza ujenzi

    Ahsante sana mkuu, hii kitu nilikuwa naihitaji hivi ilivyo ila sikuwa naweza kuielezea.
  13. IqraNI

    Serikali imepitisha Uhamisho wa online lakini Watumishi wengi hatujui kuitumia hiyo mifumo

    Hawawezi kutupeleka wote semina, kama kweli mtu ana nia ya kuhama na shughuli nyingine za kiutumishi atafanikiwa tu kujifunza huo mfumo
  14. IqraNI

    Serikali imepitisha Uhamisho wa online lakini Watumishi wengi hatujui kuitumia hiyo mifumo

    Jitahidi ujisajili na ujifunze taratibu Ukishindwa onana na HRO au IT akuelekeze Ila sio mfumo mgumu kuutumia
Back
Top Bottom