- Thread starter
- #21
leo tar 11Expected Due Date yake ilikuwa ni lini?
leo tar 11Expected Due Date yake ilikuwa ni lini?
Nyie vijana mtaja ua watu' ni nani alikuambia dawa ya uchungu inawekwaga wekwaga tu'?Mwende hospital drip la uchungu linamuhusu na asipopata mabadiliko yoyote Op yamuhusu
duuh naomba mungu isifike hukoKuwa na subira mkuu wangu alifika miezi 12 na wiki tatu ndio tukaamua kumpiga dripu ya uchungu na akajifungua kawaida tena mpaka mwezi wa kumi mtoto hata kugeuka alikuwa Hana mpango bila Dua sijui ingekuwaje
Naombeni ushauri nn nifanye
Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua.
Mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake za makaridio ya kujifungua zimeisha ila bado hajajifungua. Nini kifanyike ..?
Tuendelee kusubiri au tutafute namna zingine mbadala..?
Ushauri wenu unahitajika sana
Kwa indication ipi? Bado kuna nafasi ya kusubiri spontaneous labour. C section ni hadi kuwe na indication.Ceaser inamhusu huyo.
Mfike hospitali kwa maelezo na matibabu zaidi maana kuna mambo mengi pia ambayo yanaweza pelekea mjamzito kunzishiwa uchungu , hiyo tarehe EDD (tarehe ya matazamio huwa ni mahesabu ya wiki 40 ) , ujauzito ukizidi wiki 42 unakuwa umezidi muda .Naombeni ushauri nn nifanye
Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua.
Mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake za makaridio ya kujifungua zimeisha ila bado hajajifungua. Nini kifanyike ..?
Tuendelee kusubiri au tutafute namna zingine mbadala..?
Ushauri wenu unahitajika sana