Leo nimeota nimepiga nyoka wawili vichwani na wamekufa kwa kutunia jiwe hii ina maana gani mmoja alikuwa wakijani anatoka kama pangoni mwingine mweupe alikuwa akitaka kuingia ila anasita kwa kuwa anamuona wa kijani anatoka pangoni ila hawakupigana wao kwa wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.