Nilikuwa Longido kikazi. Nataka nilale nikatumiwa sms kwamba mzee amefariki. Sikuamini basi nikabidi nimpgie jamaa yangu nimuulize, nikajibiwa ndio nisubiri Habari tbc.
Baada ya hapo nilienda kulala mida ya saa 4 kasoro usiku, ila niliweweseka kwa mawazo (sikutaka kuamini kabisa) mpaka saa 6...
Haha ni kweli kabisa.
Mimi nina mfano halisi kabisa kwa mtu alieyeingizwa kwa connection. Ni wa jinisia ke. Na aliniambia mwenyewe. Walikuwa wanataka mtu mwenye MPH kwenye hiyo position ila yeye alikuwa na bachelor tu hata cheti hajapata na less experience. Anasema aliombwa mambo akamalizana na...
1. Simba Sc 13pts (4 wins and 1 draw)
2. Al ahly 8pts (2 wins, 2 draws and 1 loss)
3. As Vita 4 pts (1 win, 1 draw and 3 losses)
4. Al merrikh 2 pts (2 draws and 3 losses)
So unachosema hakiwezekani mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.