Recent content by INSPA

  1. I

    Serikali ya Tanzania likumbukeni na hili?

    Hashim nashukuru kwa mchango wako , binafsi namalizia masharti ya Serikali katika kuomba kufanya miradi na biashara shirikishi nikapa vibali nitarudi hapa nikwambie hatua tunazopaswa kuchukua watz , nimetembelea mikoa 6 na nimeziomba taasisi 3 za hapa Tanzania msaada wa kusupport Taasisi yangu...
  2. I

    Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    Kweli Sent from my iPhone using JamiiForums
  3. I

    Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    Matatizo ya partnership hayo pole sana , lakini umejifunza ingawa na wewe usipende Mambo ya kutuma tuma pesa uwe unaomba ruhusa upelele pesa mwenyewe. Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. I

    Ni hasara gani kubwa ulishawahi kuipata ikakurudisha nyuma?

    Tsh 7m ilizama kwenye magogo Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. I

    Tanzia: Roman Luoga afariki dunia

    R.I.P , so sad Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. I

    Tanzia: Mkurugenzi Mtendaji wa Delightfulbakes, Jeniffer Tarimo afariki dunia

    Huyu mdada kwa kweli alikuwa na udhubutu; Maana alifungua bites center pale mlimani city kuvutia biashara , ukiingia anakuuzia chai sambusa tatu buree baada ya mda pakajaa , baadae akaamzisha bufee wajichotea tu kwa tsh 6000/= pakajaa maradufu , nilimuona ana udhubutu wa hali ya juu ukizingatia...
  7. I

    Kusepa kwa Jonijo Wasafi; Je, Lil Ommy anachangia?

    Kuna aina 2 za watu 1. Maslai kwanza 2. Maslai yatajileta kwa kazi yangu kwanza. Sent from my iPhone using JamiiForums
  8. I

    Philipo Nyandindi (O. Ten) ajiingiza katika Kilimo cha Matunda

    Saafii Sent from my iPhone using JamiiForums
  9. I

    Simba vs Tiger

    Umenichekesha eti anamuachia shem haaa haaa haaaaaaa Sent from my iPhone using JamiiForums
  10. I

    Business Opportunities after corona pandemic

    Wenye kujua biashara za hisa , tujuzeni tuelimike. Sent from my iPhone using JamiiForums
  11. I

    Je, huku ndiko kuokoka?

    Nitumie kwa address ; Francis Mwangomba Athumani P.o Box 13327 Dar es Salaam NB: Natanguliza shukrani na Mungu akubariki zaidi kwa kujitoa kwako kufanya kazi yake ya kusambaza neno lake. Sent from my iPhone using JamiiForums
  12. I

    Tunawapendeni sana wanawake, ila Dunia inawaongopeeni

    Hongerenj wanawake na wasichana kwa siku ya wanawake Duniani , sisi wanaume tunawapenda sana na tunawapa pole kwa kutuzaana kutulea ingawa nanyi mnatakiwa muwe na shukrani kwa wanaume na ambao ndio walio shipa mpini wa maendeleo ya mwanamke . Hata mlipokutana mjjni Addis Ababa, Ethiopia mwezi...
  13. I

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    Sorry nilimaanisha ukiendelea na masomo huku ukifanya biashara Sent from my iPhone using JamiiForums
  14. I

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    Nachokushauri Ukiendelea na masomo huku ukiendelea na masomo itakuwa nzuri zaidi utakuwa na cheti pia uzoefu wa kufanya biashara hiyo hiyo ndogo . Kama umri wako ni mdogo below 30 yrs , stop biashara kwa muda ; tafuta kazi kwa bidii zote , ukija kupata kazi itakusaidia kujua kupitia hapo...
  15. I

    Ipi ni tafsiri sahihi na sanifu ya kuajiriwa pamoja na kujiajiri?

    Mkuu Wote mna profession moja medical officers lakini Infantry umeingia mkataba wa ajira na serikali kuhudumia wagonjwa wa serikali katika hiyo hospital A kwa taaluma yako kwa malipo ya Tsh 2m kwa mwezi wagonjwa waongezeke wapungue utabaki na hiyo 2m kwa mwezi. Nkosazana ameingia mkataba wa...
Back
Top Bottom