mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,744
- Thread starter
- #61
Kinachomfanya kubaki Clouda sio mshahara tena ila ni kupush mambo yake yaende kiwepesi and pia fununu ni kama Amplifaya imekuwa kama partnership sasa, coz mwamba anauwezo wa kuinunua ile airtime yote na kipindi kimeleta faida kubwa sana kwa matangazo yanayorukaNi kweli mkuu usemalo amebaki clouds kama kutoa shukrani lakini nlisikia interview yake anasema 2008 alikua analipwa mara tano ya ITV alipokua anapokea 300,000 means ni 1.5M lakini miaka 12 yupo apo means ameisha renew mikataba anaweza kua analamba ata 3.5 uko now japo mishe zake zinaingiza pesa nyingi sana zaidi ya kazi yake clouds maana anafanya matangazo ya kampuni nyingi sana na ninacho mpenda jamaa ni kua ni mtu mtaratibu sana na mkweli nlipo skiliza interview yake nlipata mambo mengi sana kujua kwamba ata kama umefeli class kutoboa maisha kupo kama ukipambana
Sent from my iPhone using JamiiForums