MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,092
- 2,270
Wakati dunia ikiendelea kupambana na janga hili la corona lilokuja kwa kasi na kuenea katika nchi mbalimbali katika mabara yote duniani ningependa kupata mawazo yenu juu ya sehemu za kuwekeza au "business opportunities" zitakazojitokeza kutokana na janga hili la corona because business is all about opportunities.
Ningependa kujua soko la dunia litakuwa na uhitaji gani kiujumla.
Ni hayo tu.
You are welcome & stay safe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa kujua soko la dunia litakuwa na uhitaji gani kiujumla.
Ni hayo tu.
You are welcome & stay safe
Sent using Jamii Forums mobile app