Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,575
- 12,368
Kifo kutangaza anayeleta ajieleze yeye no Nani kwa marehemu na aweke hati ya kifo vinginevyo moderators waleta matangazo ya vifo wapigeni ban kama hawakidhi hivyo vigezo
Heshima ni kitu cha bure una uhakika wamekufa kwa corona? Moderators tendeni vifo watangaze ndugu na waambatanishe death certificate huu mwendo si.mzuri kwa jamii forums na kwa hadhi yake1. Roman Luoga
2. OCD Chalinze
3. DC Geita
4. Mwenyekiti wa jumuia ya wazazi CCM
5. Mganga mkuu
Hao ndio vigogo wa leo
Uombwe na ndugu uelezecaliyejutuma akupe na death certificateMtu amefiwa atapata hata muda wa kuingia na kupost humu!!!!!!! Si atawapa marafiki ama ndugu zake wa mbali wamfikishie taarifa ya kifo!! Lengo lako ajianike co! Utasubiri sana
Acha kufundisha watu jinsi ya kufanya kazi ww, Kama VIP kaanzishe forum yako , uweke utaratibu huo unaouhitajiHeshima no kitu una uhakika wamekufa kwa corona? Moderators tendeni vifo watangaze ndugu na waambatanishe death certificate huu mwendo si.mzuri kwa jamii forums na kwa hadhi yake
Dah! ...hili jibu...Mtu amefiwa atapata hata muda wa kuingia na kupost humu!!!!!!! Si atawapa marafiki ama ndugu zake wa mbali wamfikishie taarifa ya kifo!! Lengo lako ajianike co! Utasubiri sana
Tanzia maana yake nn hivi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Source: Clouds FM
Huyu alikuwa Katibu wa kamati ya uchaguzi wa chama cha soka Morogoro.
Chanzo cha kifo hakijatajwa.
Halafu ukipata taarifa itakuaje