Naona giza mbele.
natakiwa nikimwona polisi nijisikie salama lakini kwa sasa nikimwona polisi inabidi nikimbie maana usalama wangu unakuwa mashakani.
Kuwepo usalama wa Taifa ni faraja,lakini kwa hali hii hakuna faraja tena.
Tukimbilie wapi sasa?
kwa taarifa zilizopo ni kuwa vyuo vya udakitari wameambiwa undergraduate wote wafaulu.Hakuna mwanafunzi kufeli hata kama ni kilaza.Pia senate za shule husika zimekaa mapema kuliko ilivyo kawaida ili kutoa madakitari wa intern kufidia pengo la waliofukuzwa.
kwangu nadhani sio solution kwa wakati...
ED ya mwezi mzima ni kali.
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
Nakumbuka Mbowe alibebwa na ndege to Arusha na Dr Namala alipelekwa mahakamani.
Kumbe kuna Ed ya mahakamani na Ed ya Bungeni!
Hata hivyo jamani hili swala hatutakiwi kulijadili maana linaingilia mwenendo wa kesi iliyopo mahakamani
Hii kiboko.
Ninachoona mimi hapa ni kuwa watanzania wameridhika na hali iliyopo na ndiyo maana serekali inawafanyia inavyotaka.
kulala chini ndo kawaida na inachukuliwa kama standard service kwa mtanzania.
Masikini sijui hata mtoa huduma atampaje huduma zaidi ya kumruka tu???
Kuna haja ya hizi...
Jamani huyu mama hajakubaliana na hoja kwa sababu swala la kuzama meli lipo mahakamani (MV Spice) kwa hiyo kuahirisha mjadala ni kuingilia mwenendo wa kesi iliyo mahakamani.
Wana jamvi ninavyojua mimi Wizara ya Afya sio ya muungano.
Walioteuliwa katika wizara hii(Waziri na Naibu wake) ni wabunge kutoka upande wa pili wa muungano(Zanzibar).
Je hili linawezekana ?
Naomba kujuzwa wanajamvi.
I am standing to be corrected.
PM kaenda karimjee,hakuna Drs waliokuwepo.
Alichosema waliogoma warudi kazini na ambao hawataenda wamejifukuzisha kazi.
Pili hakuna ruhusa kufanya mikutano tena kwa wahudumu wa afya.
hajajibu hoja hata moja ya alizopewa.
kazi ipo sasa.
taarifa kamili kwa vyombo vya habari jioni
Pasco pitia taarifa yako uisome mara 10;
Kitanda usicholalia huwezi kujua kunguni wake.
Mazungumzo yalishafanyika sana lakini DHARAU ya viongozi wa nchi hii ndo imepelekea haya kutokea.
Wangekuwa na busara mambo yasingekuwa hivi.
Yameanzia Intern mapaka nchi nzima.Maneno ya dharau ndo...
Jamani ni nani mwenye updates za mkutano wa PM?
maana kama alipewa barua ya kuwa mkutano hautokuwepo atakuwa ameenda?
Kweli kuna uwezekano wa kuwa na kundi la Drs feki
Kutishiwa ni kawaida jamani.
Ukiona matishio yanakuja ujue ndo mwanzo wa ushindi.
Swala la mgomo wa ma dr linatisha lkn naona serekali inaona mzaha.
Nashindwa kuelewa maamuzi ya posho za wabunge yalikuwa ni chap chap lkn madai ya msingi ya ma dr yanahitaji muda kujadili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.