Wana jamvi ninavyojua mimi Wizara ya Afya sio ya muungano.
Walioteuliwa katika wizara hii(Waziri na Naibu wake) ni wabunge kutoka upande wa pili wa muungano(Zanzibar).
Je hili linawezekana ?
Naomba kujuzwa wanajamvi.
I am standing to be corrected.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.