mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
kutishia haiwezi kua suluhuhisho
Na bazigiza mkuu.Namkumbuka Matiku Matare
Wasikubali kuwa kama akina Mgaya wa TUCTA na Mkoba wa Walimu..walipotishiwa na JK wakafyata mkia...alunta continua!!
Matiku Matare na Bazigiza hivi wako wapi? Walitikisa mwaka 1990 hadi UDSM ikafungwa mwaka mzima!Na bazigiza mkuu.
Source ni Dkt Stephen Ulimboka mwenyewe ambaye pia alisema kuwa hivi ni baadhi ya vitisho tu ambavyo anavipata kwani pia amekuwa akipata simu za vitisho kupitia namba za ajabu ambazo hata ukijaribu kuzipi hazipatikani hewani .
lakini pia alitoa rai kwa madaktari wenzake kuwa yeye yupo tayari kufa kwa ajili ya kutetea masuala haya ambayo anaamini kuwa ni ya msingi na ya haki kwa watanzania na hata kama yeye hatakuwapo siku jumatatu ya tarehe 30/01/2012 ambayo ni siku ya kikao kingine ambacho kitahusisha wajumbe toka mikoani anaamini madaktaari hawatachoka kuendelea na haya mapambano ambayo yameanza kwani kama yatashindwa itachukua miaka mingi hadi kuweza kuboresha sekta ya afya tena
Mkuu katika siasa za upinzani dunia ya tatu chochote chaweza kutokea ama kufanyika ili mradi uyakaribie madaraka!Huu mgomo unaorganaiziwa na vyama vya upinzani! Majibu mepesi ya akina Nnape
Na kuna yule dada Sikitiko Kapile aliyesema "huu ni ukondoo"!Matiku Matare na Bazigiza hivi wako wapi? Walitikisa mwaka 1990 hadi UDSM ikafungwa mwaka mzima!
Hapo kwenye red; hebu hili suala lihojiwe kwa ukaribu na umakini zaidi. Pamoja na kuwepo kwa chombo kinachodhibiti mawasiliano nchini (TCRA) bado upuuzi huu unaendelea. Nakumbuka "namba za ajabu" zilitumika sana wakati wa uchaguzi mkuu 2010 kwa maslahi ya kisiasa hasa maslahi yaliyo kinyume na sheria, taratibu, na hata maadili ya uchaguzi lakini hatujasikia hatua zozote zikichukuliwa!
Hizi namba za ajabu zinatoka wapi wakati line zote za simu nchini zimesajiliwa na wamiliki wake wanafahamika? Kama TCRA imeshindwa kazi ni wakati muafaka sasa kwa uongozi kuwajibika badala ya kung'ang'ania ofisi na ikizingatiwa ni miongoni mwa taasisi za umma zisizo na rekodi nzuri ya matumizi ya resources za umma ikiwemo ufisadi.
Waziri Kivuli wa Mawasiliano, tunahitaji kuona Waziri husika akitoa maelezo yaliyojitosheleza kuhusiana na "namba za ajabu". Otherwise, TCRA kwa kushirikiana na NEC na UWT ndio wavurugaji namba moja wa mustakabali wa taifa letu. Sijui tutakapoanza kupiga kura kupitia mtandao ilhali hawa jamaa (TCRA) ndio wadhibiti wakuu wa mawasiliano na kwa mtindo sijui itakuwaje? Ni wakati muafaka sasa kuanza kuisafisha hii nyumba iitwayo TCRA!
hii serikali ya chama cha magamba-ccm hakika ni serikali ya wendawazimu,vichaa na majuha!
Hivi hawa jamaa bado wanafikiri watu bado wako karne za ujima za kutishana na ndiyo mzee!!!????
Badala ya ku-address serious issues kama hii ya mgomo wa madaktari wanaanza kutoa vitisho kweli? Nimeshasema several times kwenye ukumbi huu kuwa rais kiwete hana waziri mkuu na hana baraza la mawaziri. Inasikitisha kwamba hata rais mwenyewe anaonekana hajui maana ya kuongoza.
Ni aibu tena ni fedheha kwa mkuu wa nchi kukimbilia ughaibuni(davos-uswiss) kwenye mkutano wa wef huku akiacha mgomo unafukuta na watanzania wanakufa!!!! Yaonyesha tu kuwa kiwete hathamini uhai na utu wa watanzania. Ameondoka na shazi la watu 14 kwa gharama ya 300m tshs fedha ya kitanzania kwenda kutalii na kutumbua fedha ya walipa kodi hela ambayo kwa rais makini angeliweza kuahirisha na kuwapoza madaktari kama kianzio kwa madai yao ambayo ni halali kabisa!
Hii inadhihirisha tu kuwa tanzania kwa sasa haina rais,haina pm,haina mawaziri na haina chama kinachoongoza. Pengine mimi niseme tu kwamba hii ni indicator nzuri sana ya kuwaonyesha watanzania kuwa ccm na serikali yake
wamechoka na wanatakiwa waondoke ikulu haraka sana ili chama kingine makini chenye kujali maslahi ya watanzania kichukue madaraka. Chama hicho si kingine isipokuwa chadema,the peoples poweeeeeeeeeeeeeeeeer!
Yuko wapi kamanda yule?Namkumbuka Matiku Matare
Wakati tunasubiria kwa hamu mkutano wa madaktari wagomaji na Waziri Mkuu Pinda baadae leo, ningependa wale wote mnaounga mkono mgomo huu wa madaktari mzingatie haya