Kama kichwa cha habar kinavyojieleza...tunafanyia watu research kwa wale wasiokuwa na muda wa kufanya wenyewe...bei maelewano...tutafute kwa namba 0758170682. ..tuma message ukijitambulisha...tutakupigia
Badilisha hilo file lako kuwa boot file...kuna thread kibao google utaona jinsi ya kubadilisha then saving location iwe hyo flash....hakikisha umetoa vitu vyako vya muhimu katika flash kwani inapojisave kwenye flash hufuta kila kitu na kuacha hyo boot file....all the best
Habari wana jamvi, natumai ni wazima kadri ya Mungu alivyowajalia.
Tanzania ni nchi yetu, twaipenda.Usipoipenda utapenda nchi gani tena.
Leo nakuja na hii mada ambayo sio ngeni ila ni mada ambayo imewekwa kapuni kwa muda mwingi na kuweka mkazo katika michezo mingine, serikali ikitumia pesa...
Mkuu wa milaya ya kinondoni,dc makonda amekuja na wazo zuri kuhusu walimu wa mkoa wa dar es salaam kusafiri bure.Hili ni wazo zuri na la kuwa mfano wa kuigwa na wakuu wa wilaya hata wabunge wa sehemu mbali mbali Tanzania licha ya chama cha walimu kuleta changamoto.......ila swali langu...
Nokia lumia 710 windows phone....kama upo mwanza na unahitaji nichek...bei laki mbili.ipo katika hali nzuri sana sababu haikuwa inatumika kwa muda mrefu......betri yake ilipotea nimeshindwa kupata betri sahihi hivyo mfuniko haufungi nimeutoa ila upo
0718208045...Whatsaap only
Nokia lumia 710 windows phone....kama upo mwanza na unahitaji nichek...bei maelewano..ipo katika hali nzuri sana sababu haikuwa inatumika kwa muda mrefu......betri yake ilipotea nimeshindwa kupata betri sahihi hivyo mfuniko haufungi nimeutoa ila upo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.