Juzi ilikuwa siku ya vitabu duniani.Hivyo nafikiria mimi na wewe tutengeneze group letu la whatsapp la kusoma vitabu ambalo tutaliita "The Book Readers Forum[emoji432]."
Group letu litakuwa na lengo la kuelimishana kwa kupitia vitabu vya kielimu,makala mbalimbali,vitabu vya sanaa,inspirational...