Kuna jamaa anajiita Rama Mwanza, kazi yake ni kutafuta namba za watu na kuwapigia SIM, anajifanya ni mkaguzi kutoka tra ,anatumia namba 0685 268 634 anasumbua sana watu
Sema hawezi fanya haraka haraka,hao atawafuta mdogo mdogo lazima waondoke, ila akina sabaya waondoke mapema na wafikishwe mahakamani maana ushahidi upo
SAMIA SULUHU HASSAN, rais wetu wa sasa, alikuwa msaidizi namba moja wa Mwendazake, kama mahakamani ni mtuhumiwa namba 2 kwenye kesi, anawajibika kwa haya yaliyotokea. Kutudanganya kuwa hakuwa na uwezo wa kuzuia yasitokee ni uzandiki.... Kama alijaribu kuzuia na akashindwa kuchukua hatua gani ...
Mi nadhani ubora wa engine ni matunzo tu, kama kuifanyia service kwa wakati,kutumia oil iliyoidhinishwa na mtengenezaji, kuepuka mafundi makanjanja walio kalili
Mkuu kwani huko dar maji yanapatikana kirahisi japo mko karibu na bahari?
Maji nchi hii ni kizungumkuti japo tuna maziwa bahari lakini hatujawahi kupata huduma hats kwa %30
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.