Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Kuna siku atakwambia " Ushaanza kuwa Ms*nge kama Voda sasa nawewe"Hizo lugha chafu huwa zinanichefua kwakweli, alaf wao wanaona ujanja kweli
Kuna mmoja nilikuwa naye majuzi akaropoka "hawa voda siku hizi wamekuwa wase.nge"..kisa tu vi-mb vyake vimeisha fasta, nikawaza huyu si kuna siku na mimi ataniporokoshea hizo lugha chafu.