Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Nawashangaa WATANGANYIKA kwa kuhoji uteuzi wa Mama Rais kumchagua Rais wa Zanzibar, Dr. Mwinyi kumuwakilisha katika mkutano wa SADC huko Msumbiji.

Pia WATANGANYIKA hao wanaendelea kuhoji kwa kusema Rais ana Makamo wa Rais ambaye angeweza kumuwakilisha au hata Waziri Mkuu lakini kwa nini nafasi hiyo apewe Rais wa Zanzibar ? Hapo jibu analo mwenyewe Mama Rais.

Jee, bado WATANGANYIKA wanaiangalia Zanzibar kwa jicho la dharau. ? Napenda kusema wakati umebadilika na tutegemee mengi mema kutoka kwa Mama Rais.
 
Nawashangaa WATANGANYIKA kwa kuhoji uteuzi wa Mama Rais kumchagua Rais wa Zanzibar, Dr. Mwinyi kumuwakilisha katika mkutano wa SADC huko Msumbiji.

Pia WATANGANYIKA hao wanaendelea kuhoji kwa kusema Rais ana Makamo wa Rais ambaye angeweza kumuwakilisha au hata Waziri Mkuu lakini kwa nini nafasi hiyo apewe Rais wa Zanzibar ? Hapo jibu analo mwenyewe Mama Rais.

Jee, bado WATANGANYIKA wanaiangalia Zanzibar kwa jicho la dharau. ? Napenda kusema wakati umebadilika na tutegemee mengi mema kutoka kwa Mama Rais.
MATAGA wanasema RC Chalamila angefaa zaidi kuwakilisha huo mkutano
 
Nawashangaa WATANGANYIKA kwa kuhoji uteuzi wa Mama Rais kumchagua Rais wa Zanzibar, Dr. Mwinyi kumuwakilisha katika mkutano wa SADC huko Msumbiji.

Pia WATANGANYIKA hao wanaendelea kuhoji kwa kusema Rais ana Makamo wa Rais ambaye angeweza kumuwakilisha au hata Waziri Mkuu lakini kwa nini nafasi hiyo apewe Rais wa Zanzibar ? Hapo jibu analo mwenyewe Mama Rais.

Jee, bado WATANGANYIKA wanaiangalia Zanzibar kwa jicho la dharau. ? Napenda kusema wakati umebadilika na tutegemee mengi mema kutoka kwa Mama Rais.

Mbona ya Chatto hawakuhoji? Hawakusikia kutesa ni kwa zamu?
 
Naamini hii movie ilianzia Mozambique lakini kwa sehemu kubwa mmarekani alihusika na Nia kubwa ilikuwa kumstabilize jiwe....

Sasa jiwe kafariki kazi imeisha....

Lakini kazi haiishi bure bure ule Ni uwekezaji wakubwa wamefanya....

Lazima wawakutanishe wakuu wa nchi husika Kama walivyofanya...Kisha watawauzia technologies ilinkisaidia kuwaondoa wale Kule nampula de galdo.....

Ni Mimi mwana KICHWA CHA MWENDAWAZIMU
Kumstabilize au Ku-de stabilise??
 
Nahisi ajenda kuu ya kikao hiki itakuwa ni hali ya usalama Msumbiji. Kwa vile Rais wa Zanzibar alikuwa waziri wa ulinzi kwa muda mrefu anaweza kuwa amekaa vizuri kuliko VP wa sasa kutolea maelezo ya serikali ya JMT kuhusu ugaidi unaoendelea Msumbiji na ambao unanyemelea hapa kwetu.

Amandla....
Kama ni hivyo waziri wa ulinzi wa sasa ilifaa ndio aende maana mtwara iko bara Mwinyi atashugulika zaidi na Zanzibar
 
Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?

Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Tuweni wakweli basi, hivi rais wa Zanzibar anaamua nini kikubwa yeye kama yeye? Rais wa Zanzibar ni kama mkuu wa mkoa tu. Hana jeshi, hana police, hana usalama wa taifa, hana mkuu wa magereza yaani hana chochote, tofauti yake yeye na Chalamila ni wimbo, ulinzi na msafara tu so mama kumtuma rais wa Zanzibar sioni kama ni issue kiviiile sana. Akija kwenye kikao cha baraza la mawaziri, Waziri anaheshima zaidi kuliko yeye yaani; ndio ukweli huo
 
Tuweni wakweli basi, hivi rais wa Zanzibar anaamua nini kikubwa yeye kama yeye? Rais wa Zanzibar ni kama mkuu wa mkoa tu. Hana jeshi, hana police, hana usalama wa taifa, hana mkuu wa magereza yaani hana chochote, tofauti yake yeye na Chalamila ni wimbo, ulinzi na msafara tu so mama kumtuma rais wa Zanzibar sioni kama ni issue kiviiile sana. Akija kwenye kikao cha baraza la mawaziri, Waziri anaheshima zaidi kuliko yeye yaani; ndio ukweli huo
Rais wa Zanzibar anaingia kwenye serikali kama.mjumbe wa baraza la mawaziri, Samia kachemka kama alivyotangaza maombolezo siku 14 bila kuangalia katiba inasemaje ingawa baadae alibadilisha.
Ni vema akawa makini na mambo ya muungano makosa madogomadogo yatamfanya anyooshewe kidole
 
Kiukweli kafanya vizuri kumtumia amwakilishe, mkumbuke hii ni jamhuri ya muungano wa Tanzania, ni vema viongozi washirikishane wawakilishane, ondoeni fikra za kibaguzi!
 
Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?

Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Mkuu Tanzania ni muungano wa nchi mbili hakuna tatizo hapo, kama huo mkutano ungekuwa unahusu Tanganyika ingekuwa ni tatizo
 
Katibu Mkuu hawezi kumwakilisha Rais katika mkutano wa marais. Na anakiwa aende mtu anaetambua kuwa yeye ni mwakilishi tu na sio ndio Rais mwenyewe.

Amandla...
Rais wa Zanzibar hatakiwi kumwakilisha rais kwa mambo ya muungano ndio maana kwenye katiba wameweka wazi rais akitoka upande mmoja makamu wake anatoka upande mwingine na hata rais tuliyenaye tumempata kwa utaratibu huo
 
Back
Top Bottom