Sio kweli Kaka, walikuuzia vya saloon basi, hivyo vioo, kuanzia unene ni tofauti pia huwa vima proofing materials Kama za joto,sauti na wakati mwingine hadi bullet proof wanainstall humo.
Wengine hupenda kuambiwa wanavyoamini wao, ukisema tofauti, utasikia sio kweli, unapozungumzia ukuta WA kioo huishiii kuongelea bei yake pekee bali kuna mambo ya energy consumption,na insulation japo Bei ya tofali yenyewe kwa sm ni kama Mara tatu ya bei ya kioo.
Inategemeana na ubora wa nyumba yenyewe unayoiongelea kwa hyo usilaumu wanaokwambia gharama tofauti na hizo, nyumba moja lakini muonekano tofauti kulingana namna Mtu alivyowekeza pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.