Waziri wa TAMISEMI, George Simbachawene
Serikali imetangaza orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwa mwaka 2017 huku wanafunzi 2,999 wakiachwa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), George Simbachawene ametoa idadi hiyo leo Juni 9...
Tatizo ambalo lipo ni kuwa watanzania ni waoga wa kusema ukweli, tunauogopa sana ukweli na hatuuoendi ukweli, kiukweli mimi alichokisema Jana bashite sijakielewa na sijamuelewa sana amedanganya UMMA wa watanzania sana, aseme ukweli tu
kwa kawaida gari za automatic zina gia 4 hadi 5 mara nyingi gari hiyo itatumia gia 1 hadi 3 over drive ikiwa off, so ukiweka overdrive on unaruhusu gari litumie gia zaidi ya namba 3 na hivyo kulifanya gari likimbie zaidi, pia fuel consumption inakua kubwa
Ukiona hivyo mtu anahitaji kutoka huko alipo, ndio shida kubwa, kuwa too general na kuwa specific ni maamuzi ya mtu, mi nadhani kila mtu anakuwa na chaguo zaidi ya moja ya sehemu ya kuishi, ndivyo ilivyo kwa hiyo post, mi nadhani we sio mwalimu, so piga kimya, we are not here to judge, we are...
mimi ni mwalimu katika wilaya ya uvinza, kigoma (IDARA YA MSINGI) natafuta mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi kutoka wilaya ya IRAMBA, SINGIDA VIJIJINI au MANISPAA, SHINYANGA VIJIJINI au MANISPAA, KAHAMA, MOROGORO VIJIJINI au MANISPAA, GAIRO, PIA HATA DAR ES SALAAM, pia kama kutakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.