Recent content by imabango1986

  1. I

    AdSense account non hosted inauzwa

    50k Sent using Jamii Forums mobile app
  2. I

    AdSense account non hosted inauzwa

    50k Sent using Jamii Forums mobile app
  3. I

    AdSense account non hosted inauzwa

    Wale wazee wa blogging kuna akaunt ya AdSense non hosted inauzwa contact 0673864079 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. I

    Kipanya: Msitumie akili nyingi kutafsiri katuni zangu

    Hiyo katuni masudi anamaanisha mikataba hawaioni na iko Siri ila wanaangalia makinikia
  5. I

    Hawa hapa Waliochaguliwa Kidato cha tano, Wanafunzi 3,000 waliofaulu waachwa

    Waziri wa TAMISEMI, George Simbachawene Serikali imetangaza orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwa mwaka 2017 huku wanafunzi 2,999 wakiachwa. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), George Simbachawene ametoa idadi hiyo leo Juni 9...
  6. I

    Wakuu msaada tafadhari nimesahau jina langu halisi

    Wewe utakuwa huna jina bhana,
  7. I

    Msaada wa vitabu vizuri vya biology, physics na chemistry kwa form 5

    INGIA www.examinationtz.com utapata notes vitabu na mitihani yote ya kidato cha 5 na 6 kwa masomo yote
  8. I

    Je, Wajua Rais wa JMT Hayuko Juu ya Katiba? Anaweza Kulazimishwa Kumtengua Makonda, Akigoma, Bunge Linamtegua Urais?

    Tatizo ambalo lipo ni kuwa watanzania ni waoga wa kusema ukweli, tunauogopa sana ukweli na hatuuoendi ukweli, kiukweli mimi alichokisema Jana bashite sijakielewa na sijamuelewa sana amedanganya UMMA wa watanzania sana, aseme ukweli tu
  9. I

    Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

    kwa kawaida gari za automatic zina gia 4 hadi 5 mara nyingi gari hiyo itatumia gia 1 hadi 3 over drive ikiwa off, so ukiweka overdrive on unaruhusu gari litumie gia zaidi ya namba 3 na hivyo kulifanya gari likimbie zaidi, pia fuel consumption inakua kubwa
  10. I

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    naombeni mnitajie mambo muhimu ya kuzingatia katika kuandika mchanganuo wa biashara(business plan) coz nahitaji niandae mchanganuo
  11. I

    Nahitaji laptop, nina sh. laki nne

    Mnaotaka laptop wote nipigie 0784156815 au 0764059873; nipo dar
  12. I

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ukiona hivyo mtu anahitaji kutoka huko alipo, ndio shida kubwa, kuwa too general na kuwa specific ni maamuzi ya mtu, mi nadhani kila mtu anakuwa na chaguo zaidi ya moja ya sehemu ya kuishi, ndivyo ilivyo kwa hiyo post, mi nadhani we sio mwalimu, so piga kimya, we are not here to judge, we are...
  13. I

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mimi ni mwalimu katika wilaya ya uvinza, kigoma (IDARA YA MSINGI) natafuta mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi kutoka wilaya ya IRAMBA, SINGIDA VIJIJINI au MANISPAA, SHINYANGA VIJIJINI au MANISPAA, KAHAMA, MOROGORO VIJIJINI au MANISPAA, GAIRO, PIA HATA DAR ES SALAAM, pia kama kutakuwa na...
  14. I

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    ndugu mi nipo wilaya ya uvinza karibu na kasulu 0784156815 au 0764059873
  15. I

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    ndugu, mi nipo msingi ila nipo uvinza karibu na kasulu 0764059873 au 0784156815
Back
Top Bottom