Utaibiwa ndugu yangu. Siku ya mwisho atakwambia utume hela kwa ajili ya gharama za kuzihamisha kuja kwako. Na hapo ndio itakuwa mwisho wa kuwasiliana naye. Hii story tena inahusu wasichana tu na visa vinavyofanana.
Pole sana, chuma majani ya mgagani yafikiche na yakishalainika weka matone ya maji kidogo. Changanya thn dondshea matone mawili sikioni. Ila yatatokea maumivu kiasi usijali.
tena anadanganya eti alienda jkt na kujiandaa vita vya uganda then azaliwe kuikuta tanzania. Vita ya uganda ilikuwa mwaka 1978, tanzania ilikuwa na miaka 14. Kwa hiyo anataka kutueleza nini?
ndugu yangu wee uko nchi gani? Kwani hujui kwamba 2010 zanzibar ilivunja muungano na kuwa serikali kamili? Uzanzibar upo ila utanganyika ndo unapigwa vita na watanganyika wenyewe.
ndugu inaeleka hata hujui warangi wanatoka wapi? Singida si kwao, kwao kondoa mkoa wa dodoma. Nadhani uingie kwenye majadiliano ukiwa na ulewa wa kutosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.