Ngoja niwekee na video alafu usema ni kukwama huko lilikuwa linalalia upande wa kushoto kelele za hapo subili utaona mda si mrefu...
Kelele ndio ajali basi simba na yanga ukiingia taifa utaandika kitabu
Achana na kizalendoWe ukikwama uwa unapiga "kelele tunaanguka tuokoeni jamani" au ningekuwa naongea Kikoloni au kuandika kikoloni ningesema ujanielewa lakini naongea na kuandika kizalendo kabisa.........!!!!
YANGA WANUSURIKA: Wachezaji wa Timu ya Yanga na viongozi wanusurika asubuhi hii kufuatia basi lao kuingia kwenye mtaro Mikese, Morogoro, wote wako salama.
Ikumbukwe Yanga jana jioni walishuka katika dimba la Jamhuri mjini Moro kuvaana na wana tam tam Mtibwa Sugar ya Manungu. Mechi ambayo iliisha kwa suluhu ya bila kufungana.
Picha za ajali:
![]()
![]()