Hapa wanazingumziwa watz,CHADEMA imefata nn?? Mbona unatambaliwa na mdudu wa prejudice,kwanini usiweke chama chako nyuma na ukaweka mbele taifa Kwanzaa??
Ni upuuzi wa ukawa hayo yameshindwa kusikika,ccm wanajifanyia Yao tu sasa wap wameangalia madaraka Vila kutazama mambo ya msingi Kama hayo ya ardhi local gvt,nk
Jaribu kuelewa logic, TB JOSHUA amejizolea umaarufu kwa utabiri wa matukio ambayo yanatokea hapa duniani,kwanini Hilo la kwake hakuweza kuliona?? Mashekhe wa mtambani wao HAWATABIRI wanafanya ibada tu,
Najaribu kuwaza,kwa saut ,Huyu Nabii wa Nigeria anayesifika kwa maono duniani TB JOSHUA ina maana hakuweza kuonA maono Haya ya kuanguka kwa jengo lake na kuweza kuwaepusha watu na maafa yaliyowakuta?? Watu wengi wamekufa,Wengi zaidi wamejeruhiwa,au Huwa anaona maono ya wengine tu kwake Haoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.