Hiyo ni akili ya uvivu. Kusubiri 240k kwa mtaji wa milioni 70. Wakati tu mtu anayefanya tu bishara ya bucha kwa mtaji ambao hauzidi milioni 10. Anaingiza faida kubwa kushinda ya mwenye nyumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano tu wa huyo jama alijenga nyumba kwa 70m itachukua miaka 24 kurudisha mtaji. Hapo hatujaweka gharama za ukarabati wa nyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa bishara ya kupangisha ninapo hiona ni kichaa . Yani 70m unapata kila mwezi 240k, kwa mwaka 2,880,000 . Ni ujinga huo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.