Recent content by ikhatibu

  1. ikhatibu

    Hii kazi ngumu sana

    Duh!! Umeampa za uso[emoji23][emoji23][emoji23]
  2. ikhatibu

    Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

    Hata mimi zinagoma kufunguka mpaka nitume web browser Sent using Jamii Forums mobile app
  3. ikhatibu

    Waafrika hatukupaswa kutumia kalenda moja na wazungu. Sisi tuko nyuma ya wazungu kwa miaka 300

    Wana jitapa tapa tu. Wazungu walichukuwa watumwa wenye nguvu basi. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. ikhatibu

    Kwa Milioni 30, UTT amis na nyumba ya kupangisha kipi bora?

    Hiyo ni akili ya uvivu. Kusubiri 240k kwa mtaji wa milioni 70. Wakati tu mtu anayefanya tu bishara ya bucha kwa mtaji ambao hauzidi milioni 10. Anaingiza faida kubwa kushinda ya mwenye nyumba. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. ikhatibu

    Kwa Milioni 30, UTT amis na nyumba ya kupangisha kipi bora?

    Kwa mfano tu wa huyo jama alijenga nyumba kwa 70m itachukua miaka 24 kurudisha mtaji. Hapo hatujaweka gharama za ukarabati wa nyumba Sent using Jamii Forums mobile app
  6. ikhatibu

    Kwa Milioni 30, UTT amis na nyumba ya kupangisha kipi bora?

    Hapa bishara ya kupangisha ninapo hiona ni kichaa . Yani 70m unapata kila mwezi 240k, kwa mwaka 2,880,000 . Ni ujinga huo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. ikhatibu

    Hivi ni kweli serikali haifahamu kero ya usafiri wa mabasi ya Mwendokasi?

    Vituo tu vimejengwa karibu karibu. Hadi kero Sent using Jamii Forums mobile app
  8. ikhatibu

    Google Pixel 8 Pro iko vizuri kuliko nilivyodhania

    Toa sababu ili watu wajue wengi
  9. ikhatibu

    Simba inaweza kufuzu Kombe la Dunia la Vilabu 2025 bila kuchukua ubingwa wa CAF

    [emoji23][emoji23][emoji23] wejama umefurahisha kweli. . (Eti umempa nini Mungu?)
  10. ikhatibu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. ikhatibu

    Kampuni ya basi Sauli zinaadimika barabarani shida nini?

    Kama hujui kitu kaa kimnya . Zuberi anazo mchina za kutosha
  12. ikhatibu

    Kampuni ya basi Sauli zinaadimika barabarani shida nini?

    Alafu mchina kwenywe umafuta , anatumia kidogo kushinda msweden
  13. ikhatibu

    Nashauri safari za mabasi kutembea saa 24 zisitishwe, vifo vitamaliza watu

    Chai hii. Mbona hao Frester hawana ruti ya Mwanza - dar. Hiyo ruti ilianza lini?
  14. ikhatibu

    Sasa kwenda Bukoba ni TZS 100K kutoka TZS 65K, LATRA mnafahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania wenzenu?

    Dar - bukoba uweke mafuta ya laki 7. Hilo bus Singida halifiki mafuta yameisha.
Back
Top Bottom