Recent content by Ike

  1. I

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weekend hii imekuwa ngumu, vigogo vimeharibu shughuli
  2. I

    Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    Mkubwa nilikuwa Pommern toka 1989 mpaka 1992, kwa dononda si mchezo mwana
  3. I

    Wana Gangilonga mpo?

    Mkuu hebu ni PM, nilicheza na watu hawa pale Kleruu
  4. I

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    Kuna wanaotoa maoni kiushaabiki hapa, sidhani kama wametaka kuielewa hotuba ama ni upofu wa akili tu, sioni tusi lolote ndani ya hutuba hiyo, mtoa hutuba ametoa ufafanuzi juu ya uliberali sasa kama CUF wanafuata mrengo huo lkn hawa support ushoga ingekuwa sahihi wakawa wazi kuliko kukurupuka...
  5. I

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  6. I

    Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    Ah! Kwa do nomad, miaka imekwenda, nilikuwa Pommern 1989 - 1992, headmaster Ngede, academic Mr. mgeni. Mgongo alikuwa machachari sana alikuja pale shule na Mwl mmoja merry sana anafundisha geography; Pommern ilikuwa yapendeza matunda kwa wingi sana
  7. I

    Lusinde na kampeni za matusi umeambulia aibu kubwa

    J3 njema, sala murua sana hiyo
  8. I

    Mponda agoma kujiuzulu

    wedau 2015 mnaitajika kumpatia rais ajae washauri wazuri na wenye misimamo, akinamponda na wengine wanatoka katika jamii yetu na tumewachagua sisi, je hatukujua kuwa si watu wasio jua wajibu wao na wakishindwa wanastili kuwajibika!!!!! tunapasika tuanze kujilaumu sisi then tuweze kuwawajibisha...
  9. I

    Rostam Aziz aachia ngazi CCM

    One down, two to go
  10. I

    Rostam Aziz aachia ngazi CCM

    Anafanyia Igunga mkuu
  11. I

    Wizi wa kisasa mijini wa magari true story

    Ahsante mkuu kwa taarifa
  12. I

    Unlock your vodafone, huawei na zte modems hapa

    mimi nina cellphone vodafone 735, je inawezekana ku unlock?
  13. I

    Lula wa Ndali ushabiki pekee hautoshi tujadili kwa hoja

    Why bother discussing the good for nothing guy!
Back
Top Bottom