Kumbe mbwembwe za clauds media ni mdomoni.

Kwanini ume fikia tamati hii? Yaani tatizo la Clouds ni tatizo la IT Tanzania? wanawalipa kiasi gani hao wataalamu wao? Acheni bana hizi conlusion za jumla jumla.

kwel kaabisa, tatizo la clouds si tatizo la IT Tanzania, kuna wa2 wanatisha kwenye issue za IT bwana, na ndiyo maana they can even comment on their poor performance.
nini kifanyike, wabadili mtazamo, waajiri wenye maujanja ya IT, la hawawezi let seek advice.

unajua tulikuwa sensitive na update na kinachoendelea then unakuta mara wako offair, unstreaming, cut off now and then nk na nk....

actually wametuboa
 
poleni waungwana inaonekana nyie hamjawajua clouds redio ya wasanii kama alivyo mkuu wetu wa kaya na ndio washikaji wake ..can u imagine wale wamepewa haki ya kuanzisha tv kimagumashi kwani hawajafikia vuwango kwanza hawana uwezo wa kurusha matangazo live..leo nieshuhudia live wanatumia simu nokia laest ndio maana unaomkanganyiok hata mechi ya simba na kiyo usanii huu ulitumika ndo maana hata replay ya mchezo mlikuwa hamuoni..mimi naomba wazuiliwe mpaka wajirekebishe..arafu mr.rage tabia yake yakupenda rushwa naonna sasa inatucost simba kwani kaongwa na ruge kakubali kuingia mkataba na clouds wa kitapeli namuonya kuwa mechi na wasudani asijaribu tena kwani tutamlipua.....apeleke njaa zake bungeni
 
Mi naamini mwanzo huwa mgumu kwa kila jambo. Hata mbuyu ulianza kama mchicha. Maoni tu.
 
Nasikiaga clouds tv clouds tv. Urushaji wao wa matangazo ya live kumbe sio.Mlobahatika kuona Katika viwanja vya Readers katika kuuaga mwili wa marehemu Steven Kanumba nahisi mna mengi ya kuchangia.

Wana JF,

Kwangu mie na kwa TZ hii Live covarage ya TV zetu huwa ni Poor sana esp kwenye matukio kwani ubunifu ni mdogo sna kwa kutokuwa na vifaa vya kutosha,

Kwa issue ya mazishi ya kanumba kulihitajika more za 50 Cameras on the scene (at the funeral Ceremony)



 
wanitafute niwasaidie, utalaam tunao lakini wao wengi wamejaza masharobaro badala ya taaluma, eti mtu anaaajiliwa kwa kuwa anajua kuigiza sauti ya mtu fulani! eti wengine waliwasaidi sana kubeba maspika sasa ndio watangazaji, ndio maana clouds imeajiri vijana wengi mabansa ambao hawana elimu, baada ya kazi utawakuta kinondoni pale UHURU PEAK au Mango wakiungana na WAKONGO kuomba bia, wakikuona UTASIKIA " MKUU afadhali nimekuona , Nina kiu Balaa" mie huwajibu, kwani Mie ni babako?
 
kuna wakati camera ilielekea juu mawinguni kwa dk kama 3 hivi.
Badala ya kuongea maneno ya faraja kwa wafiwa wao wakawa wanapoteza mda mwingi kuorodhesha viongozi wa kisiasa wanaoingia msibani pale kama ni sifa flani hivi.
Radio ya kilimbukeni na TV ya kilimbukeni.
 
haikuwa camera ni simu jamani msichanganye watu labda alisahau akadhani anachat..
 
Kwa kweli ni ovyo kabisa leo ndio wangitangaza vizuri ila ni kama walikuwa hawajui cha kufanya.

inabidi watumie pesa na kutokuwa eabahili ili waweze pata wataalamu wanaojua mambo ya mitandao na tv.

duh sikuamini macho yangu jinsi walivyonolonga haswa na wa makazini wangeona lleo bila tabu.

ni 20% nawapa kwa kujaribu hiyo ni kusafiri kwenda na kuweka kikamera

Kutangaza live sio mchezo inahitaji uzoefu na utaalamu wa kutosha. Nafikiri pale wamapata funzo la kutosha sana.
 
Nasikiaga clouds tv clouds tv. Urushaji wao wa matangazo ya live kumbe sio.Mlobahatika kuona Katika viwanja vya Readers katika kuuaga mwili wa marehemu Steven Kanumba nahisi mna mengi ya kuchangia.

Watu hawa wanaongozwa na wataalamu wasiokuwa na uzoefu wa kutosha katika urushaji wa matangazo ya moja kwa moja ya television na radio. Idadi ya camera na ubora wa picha hakuna matata. Lakini radio iingie vipi na tv vipi ni hovyo kabisa. Hata picha za pale kwenye jeneza zilipigwa isivyo kiasi cha kushindwa kuonesha picha ya kile kilichomo ndani ya jeneza vizuri. Walipaswa kujua kuwa maelfu kama si mamilioni walikuwa wanatoa nheshima zao za mwisho kupitia tv. Kwa hiyo nao Clouds hawakututendea haki kurusha kitu cha hovyo namna ile
 
Mnapenda kweli kufukuza upepo.Kazi kwenu.
Watu hawa wanaongozwa na wataalamu wasiokuwa na uzoefu wa kutosha katika urushaji wa matangazo ya moja kwa moja ya television na radio. Idadi ya camera na ubora wa picha hakuna matata. Lakini radio iingie vipi na tv vipi ni hovyo kabisa. Hata picha za pale kwenye jeneza zilipigwa isivyo kiasi cha kushindwa kuonesha picha ya kile kilichomo ndani ya jeneza vizuri. Walipaswa kujua kuwa maelfu kama si mamilioni walikuwa wanatoa nheshima zao za mwisho kupitia tv. Kwa hiyo nao Clouds hawakututendea haki kurusha kitu cha hovyo namna ile
 
Back
Top Bottom