Anacho kiongea bashiru ndio ukweli lakini kwa chama ni kama sio uhalisia maana anaongea maoni na mitazamo yake ambayo ndio hasa chama kinapaswa kua lakini kwa mtazamo wa CCM waliowengi ni kama anapiga kelele zisizo na maana ingawa najua rais anamuunga mkono
Serikali hii sio ya kulinda wananchi ni serikali ya majungu badala ya kuelekezana maana kiongozi akikosea haelimishwi ni kutumbuliwa Tu, serikali him ni ya kupelekana mahakamani na kufunguliwa kesi zisizo na dhamana serikali hii Kwa ujumla ni ya kukomoa watu serikali hii viongozi wapo bize...
Mimi nashangaa sana hivi kabendera ni nani hasa katika nchi hii mpaka anapewa umaarufu usio na maana. Kwa nini serikali hii inapenda kufuatilia mambo ya hovyo na madogo sana yasio na maana yoyote.polisi na mahakama unajiaibisha sana na unaiabisha nchi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.