Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
MAAMUZI YA JAJI YAKO WAZI:
Ili ndilo tatizo la ukilaza walionao watu wengi, nani kasema fulani kashinda kesi na fulani kashindwa?
Kwa mtu mwenye akili zake timamu uelekeo wa hii kesi unaonekana tu.
JAJI kasema kuapishwa kwa huyo mbunge hakuawezi kuathiri kesi iliyopo mahakamani, Kwa akili ya kawaida ungejiuliza kesi ikiyopo mahakamani inahusu nini? Ukijiuliza ilo swali linaweza kukufanya uelewe nini Jaji ameeleza.
Ipo sheria inayosema mbunge akishaapishwa ubunge wake hauwezi kutenguliwa na mahakama?
''...… But Judge Matupa ruled that in cases involving representation in the parliament, a person can be stripped off of his/her seat even after he/she has been already sworn-in''.
Wacha kupotosha.