Jina lisikuchanganye sana. Ila ni ile unamvuta kwenye angle ya kitanda afu unaibana miguu yake na kumlaza kiubavu. Afu unakuwa umesimama unaanza kumpelekea moto
Mkuu mpige style ya winga teleza mbona mashine yako itakuwa inamtosha vyema tu acha uoga vinginevyo njoo PM nkuelekeze kwa kupata dawa za kuikuza machine yako iendaje na tundu unalozamishia
Ujue nilipoanza kuisoma hii thread nilihisi nitakutana na kitu cha maana ila nilipofika mwisho hadi nikaanza kujuta why nilipoteza muda wangu kusoma utumbo wote huo uliouandika
Ujue kusema kweli wadada wengi wana utakaga kuwala kutokana na jinsi mademu wenyewe wanavyowatengenezea mazingira. Mfano unakuta kwenye urafiki wenu siku zote demu anadai wewe ni rafiki yake ila kila siku haishi kukupiga vibomu vye hela
Mkuu umenena vyema sana... Kama kuna viongozi na wanapitia jukwaa hili hii point yako ni nzuri sana. Huu utakatishaji wa fedha uangaliwe kwa jicho la tatu. Kama mtu anatakatisha hela kwa kuongeza mzunguko wa hela nyingi au kufanya vitu vyenye tija kidogo mamlaka kama zikimkamata zimpige fine...
Watakuwa walikamatwa hata na zaidi ya hizo 400 ila ule mzigo ni hela hauwezi kuachwa wote kama ushahidi afu ukaishia kuharibika. Kwa jinsi unavyopunguzwa si ajabu kufikia mwisho wa case huo ushahidi utakaoletwa mahakamni usizidi hata 50grams
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.