Uliwahi kukumbana na hili

Uliwahi kukumbana na hili

Wangapi wamekupa na hauko nao mkuu unless wewe ni wa chini tu
Hakuna cha wangapi kukupa suala kwamba nipe nikupe otherwise kila mtu ashike hamsini zake.....

Msipende vitonga kwamba subiria mwishoe utakuta mwana si wako
 
Huu ni uongo wa hali ya juu, unamkazia mtu kumbe behind of the scene kuna mwingine anajipigia tu kiulaini, nikuambie tu ukweli, no man is like to be a second choice or a back - up plan.
Mapenzi ni zaidi ya dudu kupeana na anaekunyima ujue anamalengo na wewe nyumba iliyokosa msingi imara itadondoka tu siku moja
 
Huu ni uongo wa hali ya juu, unamkazia mtu kumbe behind of the scene kuna mwingine anajipigia tu kiulaini, nikuambie tu ukweli, no man is like to be a second choice or a back - up plan.

Huo ukweli ni wako sio wangu naamini somewhere kuna me wanaojielewa na wenye mapenzi ya kweli na si wapenda papuchi
 
Labda hatujaelewana nilikua nasema mwanamke kumwambia mwanaume kua mapenzi si sex hivo hata wakikaa mwaka mzima bila sex ni sawa, hapana.. mwanamke anaweza kusema hivo lakini nyuma ya pazia kuna mwanaume mwingine anamtafuna.
Huo ukweli ni wako sio wangu naamini somewhere kuna me wanaojielewa na wenye mapenzi ya kweli na si wapenda papuchi
 
Labda hatujaelewana nilikua nasema mwanamke kumwambia mwanamke kua mapenzi si sex hivo hata wakikaa mwaka mzima bila sex ni sawa, hapana.. mwanamke anaweza kusema hivo lakini nyuma ya pazia kuna mwanaume mwingine anamtafuna.

Kiswahili kigumu ila umeeleweka mkuu
 
Huo ukweli ni wako sio wangu naamini somewhere kuna me wanaojielewa na wenye mapenzi ya kweli na si wapenda papuchi

Wanaume tunaojielewa na wenye mapenzi ya kweli, tunapenda papuchi, asikudanganye mtu.... Yaan umkubalie mwanaume miez nane halafu asiombe papuchi huyo atakuwa shoga... labda aombe halafu umnyime hapo atavumilia kipindi akiendelea kupata service ndgo ndgo kwa wengine..

Ni hayo tu
 
Wanaume tunaojielewa na wenye mapenzi ya kweli, tunapenda papuchi, asikudanganye mtu.... Yaan umkubalie mwanaume miez nane halafu asiombe papuchi huyo atakuwa shoga... labda aombe halafu umnyime hapo atavumilia kipindi akiendelea kupata service ndgo ndgo kwa wengine..

Ni hayo tu
Ukweli mtupu
 
Back
Top Bottom