Siyo wanawake tu hata sisi wanaume pia hatuaminiki! Tuache kuwanyooshea vidole Dada/mama/shangazi /wake na wapenzi wetu wakati nasisi tunatenda yaleyale.
Mtu mwenye akili lazima angezingatia kuwa ili mwanamke aonekane si mwaminifu lazima kuna mwanaume aliye mlaghai
Huyo jamaa yako ni zezeta! Haiwezekani una mahusiano na mwanamke halafu hamuonani almost two years, huyo mtoto sababisho ni yeye angekuwa anamtembelea Mara kwa Mara wala asingeangukia kwa mwanaume mwingine.
Ushauri wangu amlee mtoto na mama yake na mapenzi yao yaendelee.
Mbowe ni dictator hawezi kuachia hiyo nafasi kwasababu anajua kuna ruzuku. Eti mnataka tuwape nchi! Kweli! Si watang'ang'ania milele,? Waendelee tu kuwa wapinza maana uroho wao wa madaraka hautaicha nchi salama!
Hapa umemmaliza kabisa, tatizo elimu ndogo anataka aonekane mjanja matokeo yake umemvua nguo, huko alipo anatamani aifute thread yake lkn ndo hivyo tena anaendelea kuumbuka.
Mbwa koko we zile penati mbili alizowanyima KMC mbona huzizungumzii? Kwa waliomsimamisha walikwambia wamemsimamisha kwasabb gani? Kichwa kikubwa kimejaa kinyesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.