Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,142
- 27,103
Leo asubuh I nimepata ujumbe unaopiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastic kuanzia June 1 na unasomeka hivi...
"Serikali imekataza mifuko ya plastiki kuanzia tarehe 1 JUNI 2019. Faini au Vifungo vitatolewa kwa atakayezalisha, kuuza au kutumia mifuko hiyo. Achana nayo leo!"
Je mbadala wa hii mifuko ni upi, maana naona wengi wakienda kupiga faini, kufirisika na wengine kama sio kufungwa!
"Serikali imekataza mifuko ya plastiki kuanzia tarehe 1 JUNI 2019. Faini au Vifungo vitatolewa kwa atakayezalisha, kuuza au kutumia mifuko hiyo. Achana nayo leo!"
Je mbadala wa hii mifuko ni upi, maana naona wengi wakienda kupiga faini, kufirisika na wengine kama sio kufungwa!