UmbumbuniUyo mbumbumbu abaki huko huko umbumbumbuni
UmbumbuniUyo mbumbumbu abaki huko huko umbumbumbuni
Naona mmepata kipozea cha Lipuli 2 - Yanga 0. Pambaneni na hali yenu ngumuCc. Wafuasi wa Managha
100 Likes , Mtoto halali na hela , Ghazwat , OKW BOBAN SUNZU , Sapta Sapta , Van pebles Sanchez magoli , Dripboy , Penison.
Akuye akuye haji managhaaaCc. Wafuasi wa Managha
100 Likes , Mtoto halali na hela , Ghazwat , OKW BOBAN SUNZU , Sapta Sapta , Van pebles Sanchez magoli , Dripboy , Penison.
Ikitajwa yanga tu mkundu unakuwasha!Naona mmepata kipozea cha Lipuli 2 - Yanga 0. Pambaneni na hali yenu ngumu
Hahaaaa. Ila abakiage huko azidi kuporoja na mikia wenzie.Akuye akuye haji managhaaa
Hatumtaki. 😎😎Aende tu yeye sio kocha
Yan paragraph ya kwanza ume mdescribe vizuri kinacho nishangaza unamkaribisha tena kwenye club yetu pendwa. Huyu mtu ni bora abaki huko huko hatumtaki kwetu.
Manara ni shabiki wa man united kwahyo liverpool alipopangwa na barca alidhan lazma liver atolewe kama man uMara baada ya Liverpool kupangwa na Barcelona kwenye hatua ya nusu fainali Afisa habari wa Simba Haji Manara akatamka kwa mdomo wake na bila kulazimishwa kuwa endapo Liverpool wataitoa Barcelona kwenye hatua hiyo na kuingia fainali atahamia Yanga pamoja na kuwa mstari wa mbele kuchangisha fedha kwa ajili ya Yanga.
Sasa Barcelona wametolewa rasmi na Liverpool na kuingia fainali,Je Manara atakamilisha ahadi aliyotoa mbele ya hadhara??
Tusubiri...
Hahahaa......... Wazungu wawili!haji manara aliahidi atahamia yanga endapo liver wataitoa barcelona tunamwomba atimize ahadi yake
Cc. Wafuasi wa Managha
100 Likes , Mtoto halali na hela , Ghazwat , OKW BOBAN SUNZU , Sapta Sapta , Van pebles Sanchez magoli , Dripboy , Penison, Sesten Zakazaka .
AiseeeeIla aje na pafyum zake kabisa lile domo sio lile
Aiseeeeeee,taratibu sheikh wangu wengine tupo kwenye mfungoIkitajwa yangu tu mkundu unakuwasha!
Mkuu sisi hatumtaki kabisa. Lile domo linaweza kubadilisha hata rangi ya jengo letu muda wote linatema matope.Afadhali aje tu kwenu huko huko.
Mtani msijifanye mnamkataa leo huyo Managha wenu. 😀😀😀Afadhali aje tu kwenu huko huko.
Akaaaaaa. Abakie tu huko Mtani sababu nyie ndio mmezowea kupewa kauli tamu za uwongo ambazo huwa zinawafariji wenyewe.Kamwene Mtani.
Huyo ndo kashakuwa wenu, mpokeeni.
Kasema anachangia na hela kabisa, nadhani ni zile za faida kwenye perfume.
Nimekuja vipi umesharudi kutoka Iringa? 😜😜Cc. Wafuasi wa Managha
100 Likes , Mtoto halali na hela , Ghazwat , OKW BOBAN SUNZU , Sapta Sapta , Van pebles Sanchez magoli , Dripboy , Penison, Sesten Zakazaka .