Napenda kuungana na mamilioni ya Watanzania kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli kwa uzalendo na mapenzi ya dhati anayoonyesha kivitendo kwa Wananchi na Taifa kwa ujumla kwa kuhakikisha analinda rasilimali, Mali, haki na maslahi.
Hivi karibuni Rais...
Hili ndiyo jibu sahihi zingine porojo tu zamani mwanamke aliweza kufanyiwa unyama wa kila aina na mwanaume lkn asiseme kitu kwakuwa hana pakwenda,hana kipato anategemea kila kitu kwa mwanume,kama ishu ni bikra mbona watu wameona mabikra nabado wakazinguana inategemea bana acha bangi za mchana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.