Arusha: Millioni 18 za rambirambi za watoto wa Lucky Vicent bado zinashikiliwa na Polisi

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
InShot_20170522_114823.jpg


Mapema leo Saa 9:30 Am waliripoti kituo kikuu cha polisi (Central Police) Arusha Meya wa jiji la Arusha Mh. Kalisti Lazaro , Katibu wa TAMONGSCO Kanda ya kaskazini Mh. Leonard Mao, mkuu wa shule ya Lucky Vincent ,na viongozi wengine kwa lengo la Kukabidhiwa fedha kiasi cha 18 Millioni ambayo ilikuwa rambi rambi kwa ajili ya ajali ya Lucky Vincent au kutajwa kesi inayowakabili viongozi hao na kufikishwa mahakamani viongozi hao endapo wangebainika na kosa.

Sawia na hilo nikamtafuta Meya Kalisti Lazaro kwa njia ya Simu ambapo alisema "Nimewasili central nikaambiwa turipoti ijumaa" Kalisti Lazaro

Kuhusu Fedha za rambi rambi
"Fedha zipo kwa OCD pamoja na simu yangu" Bw. Mao

Akizungumza kuhusu fedha hizo pamoja na tukio nzima la kukamatwa viongozi hao pamoja na Waandishi wa habri Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha RPC Mkumbo alisema "Bado sijui chochote kuhusu hizo fedha pamoja hatua zinazoendelea dhidi ya viongozi hao akiwemo Meya
 
Aisee, iliandikwa kwamba siku za mwisho zikifika tutaona na kusikia mengi, sijui ndio hizi!
Sasa hili nalo la rambirambi kuangaisha watu tena wakubwa limetoka wapi!
 
Nyumba yangu imegeuka pango la wanyang'anyi. Yesu akapindua meza na kuwafukuza wanyang'anyi wote hekaluni. Tumwombee mkuu kama alivyosema.
 
Lile nyang'au linakula timing,subirini kama hamkusikia kazipangia kitu
Arusha hakuna GSM na watu wanataka magari kama ya Bashite
 
Tumechoka na ujinga wenu sasa kila siku rambirambi.
Ohooo... boss, take it easy! Umechoka (tu)? Zile ni fedha halali kwa walengwa wa masaibu ili zisaidie panapokwama na wala hazikudhamiriwa kuhifadhiwa benki achilia mbali kwenye mashubaka ya rimandi za polisi ! Kwa nini watu wasihoji?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Tumechoka na ujinga wenu sasa kila siku rambirambi.
Umechoka wewe ambaye akili yako imeganda,ungejua uchungu wa kutapeliwa na serikali ya ccm kwenye rambirambi usingeandika mavi hivo,kama umechoka kweli mwambie baba yako Juma Pumba Mkojo aache utapeli na nzi wake anaowatumia.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
yaani hawa 2020 sijui watatueleza nini manake ahadi zote sijaona hata 1 iliyotekelezwa,
 
Ikiwa Serikali inatilia Mkazo makusanyo ya Kodi na Rambirambi Ili Kujiendesha

Woga wa Hatima ya Tanzania umeanza kunijia kwa ukaribu sana.

Wakati wa wananchi kuchukua maamuzi magumu umewadia
Kama rambirambi kikigeuzwa chanzo cha mapato, the future of many will be uncertain...
 
Back
Top Bottom