Rais Magufuli atweet asubuhi hii kuhusu Mradi mkubwa

Allah ambariki Rais wetu Amuongezee Ujasiri na uzalendo na AMPE busara kwny kuongoza Nchi!
 
Baada ya kupiga kona pale Chato kwanini isinyoke kwenda Shinyanga moja kwa moja Tanga badala ya kushuka chini then ikarudi juu tena
Kuna vitu kadhaa vya kuangalia including landscape, environmental issues, settlements, etc. Huwa wanajaribu kadiri inavyowezekana kukwepa milima na miinuko mikali ili kupunguza gharama katika pumping, etc.

Kama lingenyooka kutoka Shinyanga to Tanga kuna Maasai na Pare Escarpments maeneo hayo. Pia kwa upande wa environment lingekatiza mbugani na ziwani - Lake Manyara and Tarangire National Parks zingeguswa; hii kitu haitakiwi.

Kwa upande wa settlements huwa wanajaribu kukwepa makazi ya watu wengi kadiri inavyowezekana - gharama za fidia pia usalama; kumbuka gesi ni moto mara moja; yakitokea ya kutokea ni zaidi ya "mother of all bombs - MOAB".

Kwa uchache na uelewa wangu ni hayo; watakuwa na sababu nyingine pia. The shortest distance would be straight line from source to destination; kwa nini hawakufanya hivyo?
 
Challenges will certainly be there, but at least your sincerity is readable. God bless you our president. Kikubwa wewe huimbi wimbo wa kwamba sisi ni maskini.
 
Huyo aliemchorea ramani rais anatakiwa kuwajibika. Ramani inayoenda duniani wanakosea neno la kawaida kabisa. Uzembe wa hali ya juu.

Je kwenye mikataba waliona kila kitu hasa vile vigumu ikiwa haya ya kawaida hawaoni wanatuanika taifa zima tunaonekana wababaishaji? Lini wataalamu wetu watakua MAKINI kwenye kufanya walau ya kawaida tu?

Swali dogo. Hivi huwa kuna uhariri wa taarifa wanazotoa kwa umma? Maana kuna wakati hadi jina la nchi au nembo vinakosewa.

Hapa Arusha kwenye mzunguko wa Mwenge wa Uhuru bendera ya taifa imechorwa juu chini. Mshazari umelala toka kushoto badala ya kuinuka.

Na ni njia ambayo wakuu wote wa Arusha lazima waipite. Na ndo pana makumbusho ya Azimio la Arusha. Watalii kibao hupita hapo na ndio tunachowaonyesha. Huu ni mwaka wa pili au zaidi. Hadi lini uzembe kama huu?

Ifike mahali tumakinikie mambo. Weledi unazaliwa na kutenda ya kawaida kwa umakini.
Umelalamika mengi humu ila sijaona point unayolalamikia.
 
Unga kilo 2500
Utapungua ndugu wala usihofu, wakulima tushaanza kuwavunia na mahindi yamepungua bei tayari kwa kiasi kikubwa tu, sasa sijui wewe unanunulia wapi hio sembe

Kingine jitahidi kupunguza kulalamika kila wakati juu ya serikali.
 
Baada ya miaka 10 ccm mtakuja kutuigizia kuwa tanzania inaibiwa
Tutaibiwa nini sasa kwani mafuta ni yetu au Uganda?
Chetu ni kodi tu kutokana na bomba hilo kupita nchini mwetu.
Cha kuomba ni mikataba ya kodi hio kuwa na manufaa kwetu.
 
Back
Top Bottom