Recent content by IGITEMA

  1. I

    Je! Mungu ni yule yule?

    Kiranga Kwa kikwetu ni shetani!
  2. I

    Vijana waliopitia JKT watumike kuzuia maandamano yanayoratibiwa kinyume cha sheria.

    Wengi wa vijana waliomaliza JKT ni supporters wa upinzani. CCM umebaki wewe tu na harakaharaka.
  3. I

    Serikali ingeanzia hapa kwa Nabii Olivia

    Manabii tu ndiyo lukuki! Bongo fleva ni wachache, baa ni chache, casino ni chache, pub ni chache, glossary ni chache, night club ruksa kuongeza ni chache! Mmh hatariiiii. Tunapenda vya shetani zaidi.
  4. I

    Nyumba inapangishwa Dodoma

    Hahahahaaaaa
  5. I

    Polisi yakiri kupiga mtu risasi maandamano ya CHADEMA

    Ukishapiga za hewani huna haja ya kuua adui, kwa nini kutumia za UKWELI? Sina uzoefu na mambo hayo hili limekaaje?
  6. I

    Nimekataa kukiita 'ki ben 10' cha dada yangu shemeji

    Wewe mwenyewe uko kwa Dada yako halafu unaleta jeuri!
  7. I

    Nape: Usalama wa Taifa hausaidii nchi, wamekalia kusikiliza simu za watu

    Shida ya nchi hii sana sana si sheria, Shida NI DHAMIRA YA WATU KISIMAMIA SHERIA! Hizo sheria mtazinukuu na mpaka mtachoka, shida dhamira za watu.
  8. I

    Maoni ya Ezekiel Kamwaga kuhusu AG mpya

    Umenikumbusha comedy moja ya comedian wa Muganda anayetumia jina la Teacher Mpamire. Alisema kwenye comedy yake moja "Rais Museveni ndiye Rais mwenye wahauri wengi zaidi duniani, akiwa na wahauri 114 ambao kati yao wengine hajawahi kutana nao kabisa, na hata aliokutana nao badala ya wao...
  9. I

    Mbowe shtuka, Mashinji anakupeleka chaka

    Mbowe alikosea sana kumpa chama Mashinji, hana uwezo wa kuingoza CHADEMA!
  10. I

    Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

    Haina umuhimu wowote ni mbwembwe.
  11. I

    Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

    Akome kuuliza maswali ya kijinga
Back
Top Bottom