Manabii tu ndiyo lukuki! Bongo fleva ni wachache, baa ni chache, casino ni chache, pub ni chache, glossary ni chache, night club ruksa kuongeza ni chache! Mmh hatariiiii. Tunapenda vya shetani zaidi.
Umenikumbusha comedy moja ya comedian wa Muganda anayetumia jina la Teacher Mpamire. Alisema kwenye comedy yake moja "Rais Museveni ndiye Rais mwenye wahauri wengi zaidi duniani, akiwa na wahauri 114 ambao kati yao wengine hajawahi kutana nao kabisa, na hata aliokutana nao badala ya wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.