Top universities in Tanzania 2018

Top universities in Tanzania 2018

Sio kila source ni ya kuamini hata wewe pia unaweza kukaa ukafikiria mambo yenye ukweli/uongo ukaandika mtandaoni source ukawa wewe na watu wakakutumia wewe kama reference.
Weka sosi yako wewe
 
Hizo rank zinasaidia nini ajira?!chuo cha kwanza na cha mwisho tofauti zake zipi ikiwa vyote hutoa degree zinazotambulika ndani ya mipaka ya Tanzania?!
MD wa udsm na MD wa imtu tofauti zao zipi?!
 
*MPYA: LIST YA VYUO BORA 2018 IMETOKA(BEST UNIVERSITIES)*

*ORODHA MPYA YA VYUO BORA AFRICA, VYUO BORA TANZANIA NA VYUO BORA DUNIANI HII HAPA*

*UDSM IMESHUKA AFRICA KULINGANISHA NA MWAKA JANA*

*UDOM IMEPANDA ZAIDI KWA TANZANIA*

*LIST YA VYUO 200 BORA AFRICA 2018 HII HAPA*

Top 200 BEST Universities in Africa 2018 African University Ranking|ORODHA YA VYUO BORA AFRICA 2018


*LIST YA VYUO 30 BORA TANZANIA 2018 HII HAPA*

Best Universities in Tanzania 2018 Tanzanian University Ranking| ORODHA YA VYUO BORA TANZANIA 2018

*LIST YA VYUO 200 BORA DUNIANI 2018 HII HAPA*

Top 200 Universities in the World 2018 World University Ranking

*TAFADHALI,UNAOMBWA KUSHEA TAARIFA HII MPYA KWA WADAU WOTE WA ELIMU*
Ungesema wametumia vigezo gani ungekua umetumia akili!! Kigezo walichotumia hata teku wanashika namba moja...
 
Hiyo United African University of Tanzania ndio kwanza naisikia leo iko wapi hapo Dar ?
 
Weka sosi yako wewe
644575365f4cb62613d246c59337f04c.jpg

Haya angalia na sosi yangu hiyo
https://buzzkenya.com/latest-ranking-for-best-tanzanian-universities-released/
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Sio kila source ni ya kuamini hata wewe pia unaweza kukaa ukafikiria mambo yenye ukweli/uongo ukaandika mtandaoni source ukawa wewe na watu wakakutumia wewe kama reference.
Hebu na wewe kwa mfano weka yako, ili tuamini inawezekana....
 
Wanaangalia sabab nyingi
Mfano idadi ya maprofesa waliopo chuo husika

Wahitimu wanalisaidiaje Taifa kwenye maisha halisi mfano km kina Tundu lissu wanavyipigania haki bungeni

Wahitimu wa natokea kwenye mashirika makubwa mfn world Bank

Sasa vyuo Ving vya private haviwez kumiliki maprofesa zaidi ya kumi unakuta vingi Ni watano au Sita ila vyuo vya serikali maprofesa wa kumwaga
sawa
 
Wanaolalamika Udom kuwa juu ya Sua, je malalamiko hayo ni kwa sababu wamezoea kuwaona Sua nafasi ya pili au kuna sababu nyingine?
Ukipata jibu nistue mkuu, naona watu wanakichukulia poa sana udom
 
Itabidi iongezwe

University of ifm

University of cbe

University of Tia
 
Back
Top Bottom