Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
hahaha jimboni kwa January makamba hakuna hata kipande cha lami. shule ya msingi mahezangulu . msamaka nk walimu wanakaa kwenye nyumba za tembe lakini ni za serikali? kuna shule ya msamaka maji yanaanza kutoka saa saba usiku ? mbunge hana nyumba jimboni .na kibaya zaidi hata halmashaur kanyang'anywq ipo kwehangala badqla ya bumbuli? na huyu nae asigombee 2020.Sasa la kushangaza ni lipi.. kwanza hawezi kugombea.. alipewa cheo akawa bizi na mambo ya siasa.. hana hata moja la kukumbukiwa.. atulie tu akirudi aende jimboni kwake.. maana huko ni majanga.. na 2020 asigombee kabisa atatemwa vibaya sana. [HASHTAG]#kajitakia[/HASHTAG] [HASHTAG]#tamaayapesa[/HASHTAG] [HASHTAG]#hanauzalendo[/HASHTAG]
una akili ndogo sana mwanadada? kama wema alikutwa na misokoto kadhaa ya bhangi na bado anatetewa na msando wewe pia hatukushangai inawezekana upo na tabia kama za wema