Hapo sio suala la kiimani ila ni kwamba sayansi ya matibabu uamini au usiamini lakini kiuhalisia imenyooka sana na haina makandokando, huu upande wa anga mamb na ulimwengu vitu vingi ni theory (havijathibitishwa kwa asilimia mia moja) na ndio sababu ya mimi kusema kuwa hizo ni kanjanja tu
Sure aisee, sayansi ya upande wa matibabu imenyooka sana na ukweli unawekwa wazi kama hakuna dawa watakuambia haipo sio kupepeza macho na kutafuta njia za kutaka kulazimisha majibu.. huu upande wa anga, uumbaji, sijui space una vitu vya kitoto sana kama hii big bang theory sijui wametoa wapi...
Sayansi iishie kwenye matibabu na kemikali tu, ila huu upande wa uumbaji na mambo ya ulimwengu huku naona kila siku wanaangukia mkenge
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.