Recent content by IdekaIdeka

  1. IdekaIdeka

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Waliokuwa karibu na Nape walikuwa na wireless mic zinazowasiliana na camera, wala sio usanii Kama mnavyofikiria[emoji106]
  2. IdekaIdeka

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Kwani ulitaka kidaka sauti cha video camera tu ndicho kitumike? Umesahau kuwa kuna wireless mic?? Unawasumbua ushabiki tu!!
  3. IdekaIdeka

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Kasome kumbukumbu la torati 29:29 Ndipo uanze kubishana na MUNGU[emoji85][emoji85][emoji85]
  4. IdekaIdeka

    Maumivu wakati wa kujisaidia

    Ndugu wana Jf naomba msaada kwenu Napata shida wakati wa kujisaidia choo kikubwa, napata maumivu makali huku choo kikiwa kimechanganyika na Damu, je! Haya ni maradhi gani na nini Tiba yake?
  5. IdekaIdeka

    Mh Kassim Majaliwa, baada ya tar 1/3/2017 stock iliyobaki ya viroba ipelekwe wapi?

    Kitakachotokea, pombe iliyokuwa kwenye viloba itauzwa kwa peg kama zinavyouzwa whisky
  6. IdekaIdeka

    Bia gani hii?

    Ridiculous
  7. IdekaIdeka

    Ni aibu kusema Tanzania kuna njaa

    Unazijua sheria za maji Tz?
  8. IdekaIdeka

    Tumegundua tatizo ni kubwa, mambo haya hapa.

    Unapo fikia katika vitendo hiyo ni shughuri nyingine
  9. IdekaIdeka

    Tumegundua tatizo ni kubwa, mambo haya hapa.

    Hivyo ni vifaa vya kufundishia jinsi ya kuvisha kondomu uume kwa vitendo katika taasisi za kielimu.
  10. IdekaIdeka

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Sana sana tunaishi kwa kufikri fikiri tu
  11. IdekaIdeka

    Ana Kikohozi kikavu kwa muda mrefu, nifanyeje?

    Wana JF Nakushukuruni sana kwa ushauri wenu. Sasa nayafanyia kazi mawazo yenu. Tuko pamoja
  12. IdekaIdeka

    Ana Kikohozi kikavu kwa muda mrefu, nifanyeje?

    Ndugu wanajamvi Salaam Kwa wataaramu Wa tiba Mtoto wa ndugu yangu Amekuwa akikohoa kwa muda si chini ya miaka mitano sasa. Kikohozi hicho ni kikavu, tumejaribu hospital zetu huko wilayani bila mafanikio. Tafadhali naomba ushauri wenu.
  13. IdekaIdeka

    Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

    Kariakoo kweli ni Carrier Corps, sababu sio iko Dar es salaam tu, ipo pia Unguja na Kenya.
  14. IdekaIdeka

    Msaada please iPhone users nimedelete default app

    Mbeky usichoke na vitu hivi vya electronics hasa vya mmarekani, kwanza ujue wao ndio wana control kila kitu. Kama una account ya gmail, jaribu kuwasiriana nao watu wa apple watakuambia solution
Back
Top Bottom