Wenzako wamesoma huko huko SUA na UDSM na wametoka na first class tena mpk za 4.8 nn hiyo 3.8 iliyowekwa hacheni tabia zenu za kutafuta sababu zisizo na msingi ili TCU watanue goli.
Wadau nilikuwa naombwa kujuza zile nafasi tulizoomba CBE maana deadline ilikuwa tarehe 11 mwezi wa 4, Je nikwamba waisha ita watu au bado mchakato unaendelea mimi niliomba nafasi ya marketing..Naomba kuwasilisha
Hivi hi imekaaje mtu ambaye ana kesi 2 kesi ya kwanza teyari amehukumiwa kifungo cha nje cha miezi 6 na kesi ya 2 hukumu yake bado ila inatarajiwa kutolewa next week kwa mfano hiyo hukum ya kesi ya 2 huyu mtu akahukumiwa kifungo cha gerezan. Je hizi adhabu atazitumikia kivipi wkt teyari ni...
Ah hi hatari sasa hi itakuwa nchi ya kwanza duniani kuwa na maraisi 6 yaan 1.rais wa jamhuri ya muungano 2.makam wa rais wa kwanza wa jamhuri 3. Makam wa rais wa 2 wa muungano ambaye ni waziri mkuu pia 4.rais wa serikari ya mapinduzi ya zanzibar 5.makam wa kwanza wa raisi ya serikari ya...
Kwa wale wataalam wa mambo ya siasa na sheria hivi endapo kama ukawa hawatarudi kupiga kula bungeni je 2/3 ya upande wa Zanzibar itapatikana maana namsikia 6 anasema itapatikana tu hata ukawa wasiporudi je hi ikoje hapo.
Mlio omba mdahalo muwekewe youtube huo hapo sasa visit hi link
Part 1:
http://www.youtube.com/watch?v=bDbUTYbPMc4
Part 2:
http://www.youtube.com/watch?v=8cx_BfH1i8I
Part 3:
https://www.youtube.com/watch?v=SZviE379i1U
Wana Jamii forum nimefanikiwa kujenga nyumba yangu sasa niko ktk hatua ya kuezeka nilikuwa nataka nitumie bati zile za rangi alimaarufu kama bati za msouth nilikuwa naomba ushauri wenu je kampun/kiwanda gani hapa bongo kinatoa bati nzuri za aina hiyo na kwa bei nzuri na je ntagunduaje bati feki...
Wana Jamii forum nimefanikiwa kujenga nyumba yangu sasa niko ktk hatua ya kuezeka nilikuwa nataka nitumie bati zile za rangi alimaarufu kama bati za msouth nilikuwa naomba ushauri wenu je kampun/kiwanda gani hapa bongo kinatoa bati nzuri za aina hiyo na kwa bei nzuri na je ntagunduaje bati feki...
Pole sana ndg yangu kwa hilo bt solution yk ni ndogo sana ukitaka umsahau kabisa ua x girlfriend we uwe unakumbuka mabaya yk aliyokuwa akikufanyia usikumbuke mazuri yk...hiyo ndo solution!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.