Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,378
naendelea kujua kwa nini watu hujilipua, ukiwa na kundi la wezi km CCM ni wazi siku moja waweza jitoa mhanga
naendelea kujua kwa nini watu hujilipua, ukiwa na kundi la wezi km CCM ni wazi siku moja waweza jitoa mhanga
ni kweli tanganyika ni baada ya berlin!!
ss ebu nikuulize muungano wa tz ni wa zanzibar na nchi gani??
je kama zanzibar wakichukua fito cc tutabaki na nn??
je tutaitwa tz bara ,tanganyika au tutaanza kupiga kura kutafiuta jina jipya na kuacha hii ya berlin???
mbona hoja za kessi hamkuzijibu??mmebaki kungamgania hati jina ya berlin!!
basi na Dar es-salaam nayo tuache kutumia kwa sababu hili jina lilianzishwa na sultani majid bin said
TUMIA AKILI KIJANA
Wewe ungejibu swali la Kwenju badala ya kuzunguka.Sasa ya nini kuiita Tanganyika ya wakoloni wakati unajua kabisa mpaka tuwe na serikali moja ndio ife?.Sometyms mnakera sana kwa kujivua ufahamu na kuwa vibaraka wa watawala watu kama nyie ambao walau mmebahatika kupata elimu ya juu.Shame on you!!!Kyenju, ndiyo maana tunapaswa kwenda mbali ili nchi hii iwe moja kwa kuwa na serikali moja. Kwame alishaliona hilo siku nyingi sana. Atabaki kuwa sahihi.
Hapana masopakyindi, CCM wanamwamini sana Chenge hadi wakamchagua kwa kura nyingi kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CCM na Bungeni! Na sasa ameingia katika historia mpya ya taifa; Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum la Katiba 2014! Kumbuka, Birds of a feather fly together!Kumwamini mwizi ni pagumu hapo!!
Hii sio katiba, ni uchafu kabisa.
Dr. Hellen kijo ameongea leo point sana chanel 10...watanzania sisi ni waoga sana. Tukitishwa na chagonja tu hatuwezi kudai haki yetu. Tunaogopa kupigwa na kufa, lakn hata kama hutakufa lwa kudai haki yako bado utakufa kwa kunyimwa haki yako. Beter ufe kwa kudai haki yako.
Watz kama tukiamu huu ufafu hautapita. Huu ni uchafu tena matapishi ya sitta na chenge. I hate these guys[/QUOTE niliwahi kusema humu ndani tatizo la nchi hii niwananchi wenyewe si Viongozi kwani viongozi ni mazao ya wananchi walivyo viongozi wanaonyesha wananchi walivyo nikahitimisha uoga wetu ndio nchi ilivyo navituko haviishi haya yote yasingukuwepo kama wananchi wangukuwa na udhubutu wakaweka uoga nyuma]
Rasimu hii ikipitishwa na wananchi itakuwa karata ya kupitishwa kugombea kiti cha Urais kwa Mh Samwel J Sitta.
Jamani naomba msaada maana naona kama changa la macho;tulikubaliana kuwa serikali 3 ni gharama sasa huyu raisi wa nzanzibar kuwa makamu wa 1 wa jamhur ya muungano wa tz nikuwa akija kufanya shughuli za muungano kama makam wa rais halipwi? Na kama analipwa nini tofauti na serikali tatu
Hata ndani ya CCM , nyadhifa nyingine zina nunuliwa, hasa kwa walio na vijisenti!!Hapana masopakyindi, CCM wanamwamini sana Chenge hadi wakamchagua kwa kura nyingi kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili CCM na Bungeni! Na sasa ameingia katika historia mpya ya taifa; Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum la Katiba 2014! Kumbuka, Birds of a feather fly together!
Hii sio katiba, ni uchafu kabisa.
Dr. Hellen kijo ameongea leo point sana chanel 10...watanzania sisi ni waoga sana. Tukitishwa na chagonja tu hatuwezi kudai haki yetu. Tunaogopa kupigwa na kufa, lakn hata kama hutakufa lwa kudai haki yako bado utakufa kwa kunyimwa haki yako. Beter ufe kwa kudai haki yako.
Watz kama tukiamu huu ufafu hautapita. Huu ni uchafu tena matapishi ya sitta na chenge. I hate these guys[/QUOTE niliwahi kusema humu ndani tatizo la nchi hii niwananchi wenyewe si Viongozi kwani viongozi ni mazao ya wananchi walivyo viongozi wanaonyesha wananchi walivyo nikahitimisha uoga wetu ndio nchi ilivyo navituko haviishi haya yote yasingukuwepo kama wananchi wangukuwa na udhubutu wakaweka uoga nyuma]
Kweli sisi ni waoga, kazi yetu ni kulalamika kwenye mitandao. Niliweka jana thread juu ya wananchi kule Mbeya walioamua kwenda mahabusu ili wafungwe pamoja na wachache waliokamatwa na polisi baada ya mkutano wa Abdul Jumbe. Jinsi tulivyo waoga hatuwezi kufanya hivyo pale ambapo tukiamua kuandamana mfululizo na baadhi yetu wakatiwa ndani.
Ilitakiwa baada ya wenzetu kukamatwa kwenye maandamano, makundi kwa makundi ya watu wanajipeleka polisi na kuwaambia kwamba tufungeni na sisi kuonesha mshikamano na wale waliokamatwa but this kwa wadanganyika it is next to impossible as kuandamana tu ni waoga kazi yetu ni kulalamika chini ya mvungu na mitandaoni.