Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Nakumbuka huyu jamaa hapa kwenye picha aliwahi 'kuporomosha' matusi hadharani kwenye kampeni za uchaguzi mdogo kule Arusha.
Baadaye kidogo clouds fm wakamwita kwenye mahojiano kwenye kipindi cha 'jahazi' na wakamsafisha sana, na 'wakahalalisha' matusi yake.
Leo hii sishangai kusikia clouds fm wakisema hayo waliyoyasema.
Baadaye kidogo clouds fm wakamwita kwenye mahojiano kwenye kipindi cha 'jahazi' na wakamsafisha sana, na 'wakahalalisha' matusi yake.
Leo hii sishangai kusikia clouds fm wakisema hayo waliyoyasema.