Recent content by Ibrahimu Zuberi Mkondo

  1. I

    Shura ya Maimamu yataka Mkataba wa Bandari Uboreshwe na haki itendeke kwa Makumi ya Masheikh walioko Jela nchi nzima

    Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA shurayamaimamutanzania@gmaili.com BARAZA LA IDD ADH-HA, ALKHAMISI TAREHE 29.06.2023 -1444. “HAKI NA UKWELI VITHAMINIWE ” FALSAFA YA IBADA YA HIJJA Awali ya yote tunamshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema kwa kutupa fadhila nyingi...
  2. I

    Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

    Hii post haina maana yoyote, umeandika kwa mhemko na chuki tu. Tuambia kitafiti, kwanza useme viungo gani vinatumika kutengeneza hiyo Al kasusu. 2. Utuambie katika mchanganyo huo ni kiungo gani kinaweza leta madhara kwa afya za watumiaji 3. Utuambie kama kila kinacho kudhuru wewe ni lazima...
  3. I

    Uzinduzi wa kitabu

    Kitabu "JUHUDI NA CHANGAMOTO" Kilicho andikwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda kitazinduliwa tarehe 04/09/2022. Uzinduzi wa kitabu hicho utafanyika katika hafla ya Uhamasishaji Uandishi wa Vitabu kwa Viongozi Nchini. Kitabu kitapatikana kwa Tsh...
  4. I

    Profesa Malima: Kwanini nimejitoa CCM

    KUTOKA MAKTABA KUU Feb: 15, 2022. Na Sheikh Ponda Issa Ponda HOTUBA YA RAIS SAMIA NA PROFESA MALIMA “Kuna makundi wanayoyafanya ndani ya serikali wanayajua. Makundi hayo yanageuka na kusema Serikali ya awamu ya sita ufisadi umerudi, mambo yako ovyo, kumbe wao ndio wako ovyo. Mambo hayo (ya...
  5. I

    Sheikh Ponda: Sherehe za Mapinduzi zichunguzwe

    Jibu hoja zilizo ndani ya andiko, acha kutisha watu
  6. I

    Sheikh Ponda: Sherehe za Mapinduzi zichunguzwe

    SHEREHE ZA MAPINDUZI ZICHUNGUZWE Na Sheikh Ponda Issa Ponda IFIKAPO Januari 12, 2022, tutashuhudi watu wakisherehekea Mapinduzi yaliyofanywa visiwani Zanzibar mwaka 1964. Ni vizuri tujadili japo kwa ufupi tukio hilo. Zanzibar ilifanya uchaguzi wa nne wa kidemokrasia (wa vyama vingi), Julai...
  7. I

    Ziara ya Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania gereza la Arusha

    Shura ya Maimamu Tanzania TAARIFA YA MASHEIKH WA GEREZA LA ARUSHA LEO 11.10.2021. Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda amefanya ziara leo kuwajua hali Masheikh waliopo katika Gereza Kuu la Arusha Kisongo. Masheikh hao na waumini wao wapatao 61, walikamatwa mwaka...
  8. I

    Barua kwa Waziri wa Katiba na Sheria: Tamko la uhalali wa ndoa ya Kiislamu

    Bismillahir Rahmanir Rahiim JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAMU TANZANIA Barua Pepe- jtkt.tz@gmail.com S.L.B, 2055, Dar es Salaam Kumb: JTKT/WKS/B1/21/F-SHR. 31. 08. 2021. JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. WAZIRI WA SHERIA NA MAMBO YA KATIBA S.L.P. 315, DODOMA. YAH: TAMKO LA UHALALI WA NDOA YA...
  9. I

    Tamko la Shura ya Maimamu kufuatia Jeshi la Polisi kuwashikilia Viongozi wa CHADEMA

    SHURA YA MAIMAMU TANZANIA TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa...
  10. I

    Waraka wa Shura ya Maimamu Tanzania kuhusu kuachiwa Masheikh wa Uamsho

    Shura ni neno la kiarabu lina tafsiriwa kuwa "Kikao cha mashauriano" au Mashauriano
  11. I

    Waraka wa Shura ya Maimamu Tanzania kuhusu kuachiwa Masheikh wa Uamsho

    Wakati mwingine mnapaswa muone aibu, hata mnyama kuna wakati anaweza kujizuia jambo baya kwa kuogopa macho ya watu. Miaka 8 sasa Serikali ilikuwa inatafuta ushahidi, bado imeshindwa kithibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao. Tungekuona wa maana sana kama ungepeleka ushahidi huo mapema ofisi ya...
  12. I

    Waraka wa Shura ya Maimamu Tanzania kuhusu kuachiwa Masheikh wa Uamsho

    SHURA YA MAIMAMU TANZANIA *WARAKA WA KUTOLEWA UAMSHO TAREHE 19 JUNI 2021* UTANGULIZI: Suala la kukamatwa Masheikh maarufu kwa jina la “Masheikh wa Uamsho” (2013), na kuachiwa kwao huru (2021), ni tukio kubwa Tanzania. Kwa sababu kadhaa zikiwemo za ubinadamu, haki na nafasi ya Masheikh katika...
  13. I

    Awamu ya mwisho ya Masheikh 11 wa “Uamsho”wametoka gerezani leo

    Bismillahir Rahmaanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA MASHEIKH WENGINE 11, WAMETOKA ADHUHURI YA LEO 17.06.2021 Awamu ya mwisho ya Masheikh wa “Uamsho”wametoka gerezani leo. Masheikh 6, kati ya waliobaki wamewasili Bandarini Unguja saa 12:30, jioni ya leo. Aidha waliobaki wawili...
  14. I

    Gazeti la Serikali “Habarileo” halijui kama Masheikh wameachiwa huru

    GAZETI LA SERIKALI “HABARILEO” HALIJUI KAMA MASHEIKH WAMEACHIWA HURU Na Sheikh Ponda Issa Ponda Takriban Magazeti yote makubwa ya leo habari kubwa ni tukio la kuachiwa huru Viongozi wakubwa wa Dini maarufu kwa jina la “Masheikh wa Uamsho”. Kwa namna ya pekee gazeti la Serikali halina kabisa...
Back
Top Bottom