Recent content by ibrah0102

  1. ibrah0102

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Sio kweli jamaa anakula futari mda huu
  2. ibrah0102

    Live Rais Samia: Salaam za Mwaka Mpya

    Watakao msikiliza watupe Summary ya kile alichokisema
  3. ibrah0102

    Je, Mafundisho haya ndiyo Mungu alimtuma Muhammad aje ayafundishe?

    Mkuu kwa Nini usibaki na kile unachokiamini
  4. ibrah0102

    Ona unyama uliopitiliza wa rekodi ya dunia. Unatokwa na machozi

    Kiukweli kumnyima Mtu haki ya kutibiwa ni UKATIRI USIOVUMILIKA WALA KUSAMEHEKA aisee ni unyama wa aina gani huu waTz kutoa Uhai wa mtu Mahututi ambaye ilibidi kumsaidia kupambania Uhai wake Dah inauma sana
  5. ibrah0102

    KUNA UMUHIMU WOWOTE KWA RAIA KUWAPENDA AU KUWA HESHIMU JWTZ?

    Jeshi limeshakuwa la FisieM liko upande wa watawala
  6. ibrah0102

    Landing Rights for satellite launching in Tanzania

    Kwani kipindi cha vita Israel na Iran zile video za Satellite zilikuwa na kibali chochote
  7. ibrah0102

    PostGE2025 Jumanne Muliro azikataa Video za mauaji kipindi cha maandamano zinaosambaa mtandaoni, adai zimetengenezwa

    A Angesema kutengeneza nani kwa maslahi gani? Ni lini jeshi la polisi lilifanya uchunguzi na kugundua kuwa zile video nizakutengeneza?
  8. ibrah0102

    Eti wazanzibar? ndio wanaohusika? Are you seriously?

    Tatizo hapo ni FISIEM WAZANZIBAR waacheni bure
Back
Top Bottom