wolverineGG
JF-Expert Member
- Feb 13, 2025
- 1,366
- 2,387
Alaf nashangaa mtu anafuga paka kudadadekiWe subiri tu mkuu, watampenda bure mbuzi katoliki.
Alaf nashangaa mtu anafuga paka kudadadekiWe subiri tu mkuu, watampenda bure mbuzi katoliki.
Hapo nyie ndio mnakashifiwa sio sisi labda safari hii mtamshikisha adabuKwahio wafuasi wake vipi? Wakristo mmezidi upole halafu sisi tukinyoosha rula mnasema dini ya makatili ila ukweli ni Kwamba mnamasikhara Sana na dini yenu uyu ndio mlikuanamuita Nabii na kumpa hela
Mi mwenyewe huwa nashangaa sana aisee 😂.Alaf nashangaa mtu anafuga paka kudadadeki
Wamama walikua wanajaa kanisani kwake😄😄😄Anayejiita Nabii Kiboko ya wachawi sasa amebadili dini rasmi na kuwa Muislamu, na sasa anajiita Mohammed Bin Kiboko.
Huu ni uzushi japo kwenye baadhi ya nchi kama UAE(Dubai) yapo maduka maalumu kwa ajili ya kuuza hiyo nyama lakini wateja wake wakubwa ni wageni hasahasa wa jamii za kifilipino,Waafrika wachache wakristo na wachache wa kutoka ulaya ila sio waarabu na wala sio waislamu.Yaani ukigusa tu nyama yake umenasa, haijalishi wewe ni wa imani gani. Katika mataifa ya kiarabu inasemekana mbuzi bin katoliki nyama yake ndo yanaongoza kuliwa.
Sikupingi lakini ukweli ni kwamba ukimgusa huyu kiumbe hutamwacha abadan.Huu ni uzushi japo kwenye baadhi ya nchi kama UAE(Dubai) yapo maduka maalumu kwa ajili ya kuuza hiyo nyama lakini wateja wake wakubwa ni wageni hasahasa wa jamii za kifilipino,Waafrika wachache wakristo na wachache wa kutoka ulaya ila sio waarabu na wala sio waislamu.
Nasikia unajipaka mafuta ya nguruwe matakoni pale dushelele la Abduli linaposhindwa kupenya vyema.Wafia dini wa Bwana yesu ndo viumbe vinavyoongoza kutapeliwa hapa duniani
😂😂😂😂😂😂😂Anayejiita Nabii Kiboko ya wachawi sasa amebadili dini rasmi na kuwa Muislamu, na sasa anajiita Mohammed Bin Kiboko.
+ kuwa#tmb juuJamaa namkubali sana 😂
Aliwanyoosha wapumbavu wa kitanzania hasa wanawake, kuna wapumbavu wakaandamana kabisa ety jamaa aachiwe 😂
Jamaa mwamba sana na ndivyo inavyotakiwa kuwafanya watu ambao wameamua kutokuwa na akili timamu.+ kuwa#tmb juu
Ova
Mimi ni nani niupinge huo utafiti wakati hata kobazi Chizi Maarifa anakubaliana nao.
hili sijui maana sijawahi kulaSikupingi lakini ukweli ni kwamba ukimgusa huyu kiumbe hutamwacha abadan.
Hahaha 😂, mkuu umenichekesha sana.Hii nyama haifai kuruhusiwa kula ni tamu sana. Nawaelewa masheikh wangu wanapokataza na kula kwa kificho. Mimi nlipojaribu toka siku hiyo sikuacha.
Nakutahadharisha usijaribu kwa maana hutabanduka.hili sijui maana sijawahi kula
Mental illnessNasikia pamoja na kubadili kwake dini ameapa kutoacha kula 'mbuzi katoliki' kwa kusisitiza kuwa ni mnyama mtamu haswa.
Chezea mbuzi bin katoliki weye?!
What?Mental illness